Mwanangu sio photocopier

kichomiz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
20,316
Reaction score
13,371
Jamaa - Mama mkwe nimekuja kuleta shitaka
Mama Mkwe- shitaka gani mwanangu?
Jamaa-haiwezekani mwanao anizalie watoto ambao sifanani nao hata kidogo.
Mama mkwe-Eeeh kijana naomba tuheshimiane ulivyo kuja kuoa uliambiwa mwanangu ni photocopier? ukitaka watoto wa kufanana na wewe tafuta photocopier machine,Sawa?
Jamaa akabaki ameduwaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…