Mwanangu makelele kitandani sio sifa pekee ya mke bora

Mwanangu makelele kitandani sio sifa pekee ya mke bora

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Kelele zilisikia kutoka chumba cha Mpangaji mwenzangu, Nakufa, Niue mume Wangu, kill me, do me, you are so sweet. Sema nikupe utakacho... ni sauti ya binti aliyekuwa akilalamika kimahaba zikiambaatana na sauti za mtikisiko wa Kitandani.

Ghafla kwa ukali ikapenya sauti ya baba mwenye nyumba, mwanangu wacha ufala, Mke hatufutwi kwa ujuzi wa kelele za mahaba, tafuta Mke mwenye hofu ya MUNGU.
 
Kama wazungu walikua wanashuka (wanatiririka) basi jamaa hakumsikia hata!!
 
ha ha ha! Aliwaotea balaa.But ni ukweli mchungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom