Asante nimebeba kitu hapa
Kitu gani mrembo?
Ameeen
kitchen party wanafundisha maisha ya kwenye movie siyo haya ya kwako na ya kwangu hivyo kitchen party ni wastage of good money.Waeleze, I wish wangekuwa wanapewa kitchen party.....nao
Umesahau na aliyekuwa raisi wa MALOFA na WAPUMBAVU
1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo!
Na wanaume wote waseme Amen.
huu wosia umekaa kimfumo jike zaidi!
Ha! magufuli huyu huyu wa ccm au member?
btw Miss u
Hahhaha na utalalia pazuri piaAmen.... leo itakua nimeamkia pazuri
Na wanaume wote waseme Amen.