Mwanangu anaharisha kinyesi cha utelezi

Mwanangu anaharisha kinyesi cha utelezi

Ikuli

Member
Joined
May 31, 2020
Posts
14
Reaction score
5
Madokta mwanangu anaharisha mara kwa mara kinyesi kimechanganyika na ukijani na povu, tafadhali mnisaidie
 
Mtoto ana umri gani? Je anaharisha mara ngapi kinyesi cha aina hiyo kwa siku? Maana hii huwa hali ya kawaida kwa mtoto hasa yule ambae mnaanza kumuanzishia vyakula ambavyo hajazoea maana yeye ashazoea maziwa ya mama.

Lakini pia kama hana Homa..Hatapiki au halii muda wote kuashiria maumivu pia ukisikiliza tumbo haliungurumi. Mtafutie Pedzinc na ORS japo kwenda Hospital ni Best option ukizingatia ni mtoto mdogo.
 
Ni meno hayo, mpe panadol ishushe joto kisha muwahishe hospital
 
Madokta mwanangu anaharisha mara kwa mara kinyesi kimechanganyika na ukijani na povu, tafadhali mnisaidie
Chukua choo chake ukapime; jambo mimi si wa taaluma ya afya lakini hiyo ni tambazi / amoeba na dawa zipo ili thibisha kwa kupeleka choo maabara kipimwe
 
Back
Top Bottom