DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama siwezi kumpiga mtoto ngumi inamaana hawezi kupigwa na mwingine? Wewe ndo unashindwa kuonyesha utimamu kwa kuhitimisha mambo kwa hisia.

Halafu unatakiwa ujue kuwa mtoto kuwa na kansa haimaanishi kwamba hawezi kupigwa.

MFANO,
mtoto ana nimonia halafu ukampa adhabu ya kumweka kwenye pipa la maji baridi akafa, dr akisema kafa kwa nimonia inafuta uhusika wako kwenye kifo cha mtoto?
unatumia kigezo gan kuamin mtoto alipigwa ngumi na haikuwa KANSA YA DAMU ? je una ushaihidi kuea huyo mwl alijuwa mtoto alikuwa anapitia hatua zipi za kimatibabu ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuuliza, mtoto ana nimonia, umempa adhabu ya kukaa kwenye maji, akafa. Ripoti ya Dr imeonyesha nimonia imemuua, inafuta uhusika wako kwenye kifo cha mtoto?
mf mimi mwl ntajuaje huyu ana niumonia na huyu hana ? refer kwenye adhabu ya VIKOBO

NDO HOJA YANGU YA AWALI WAPIMENI WATOTO WENU AFYA KABLA HAMJAMKABIDHI KWA WALIMU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Yule mwalimu aliyechezesha watoto mziki wa annii,alishughulikiwa haraka.
Huyu anayeficha muuaji,tunasubiri taratibu zifuatwe.
Nakushauri lalamika kwa waziri wa elimu haraka iwezekanavyo. Alafu mbona mama anahangaika peke yake?
Baba yuko wapi,na anafanya nini? au ndo wale wanaume mithili ya jogoo,
tetea anapambana na kunguru asile vifaranga,jogoo amesimama pembeni anawika tuu.
unabishana na majibu ya madaktari ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
unatumia kigezo gan kuamin mtoto alipigwa ngumi na haikuwa KANSA YA DAMU ? je una ushaihidi kuea huyo mwl alijuwa mtoto alikuwa anapitia hatua zipi za kimatibabu ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia naamini mtoto alipigwa ngumi ni nani? Una mihemko. Unadhani kwanini maelezo ya mtuhumiwa ni muhimu na swali la kwanini hana maelezo linajirudia rudia?
 
Mkuu inakuja akilini eti mtoto wa darasa la kwanza kachelewa namba then mwalim ampige ngumi? Hivi kweli? Hapa kuna vilivojificha watoto skuhz wanadanganya sana.

Ukute mtoto alipigana na wenzake au alipata kiajali flan kikampelekea kupata maumivu na majeraha yalompelekea kufa lakini aliogopa kusema ukweli kwa wazaz bas akamsukumizia mwalim aliyemuadhibu labda kwa ka kiboko kamoja au tuwili twa miguuni au mkononi
Tukio linasikitisha sana lakn naomba nichangie kwenye hili Kuna Mwalimu alikuwa na kesi polis last wiki alipiga mtoto viboko viwili mkono ukavimba,kesi Ilikuwa kubwa madaktari wakasema pia kachapwa alama inaonekana kwenye mkono ni fimbo wakat kesi inaendelea mkono nao unazid kuvimba na kujaa mwisho ukaanza kutoa magamba na kunywea kuchunguza kumbe aling'atwa na mdudu maskini na kumbana vizuri akasema alianza kuumwa mkono sikumoja kabla ya kuchapwa
Sisemi Ni tukio zuri lakini Kuna namna maelekezo yazingatie pande zote mbili
 
Wewe inaonekana upo hapo maeneo ya shule.

Umejuaje kuwa hakuna malalamiko? Maana hili tumelijua kupitia hapa JF na ni lalamiko lililokuwepo na hatujawahi lisikia. Unajuaje kuwa hakuna malalamiko kama haya?
kama kelele zingekwepo basi kesi ingekuwa sehemu fulani , soma bandiko na ulielewe , hiyo shule haipo mbinguni kwamba wazaz wangeshindwa kwenda kufanya fujo , huyo mwl wa field tena shule ya msingi tena vijijini simain kaa ana gari anapita kwenye makazi ya watu kwenda dukani au kupata huduma nyingine

HUYU MAMA NA WW MNABISHANA NA MAJIBU YA DAKTARI NA MNAONEKANA HAMKUBALI KUWA KIFO KINAKUJA MUDA WOWOTE HAKINA , NAEZA KUKUSUKUMA NA UKAFA MOJA KWA MOJA

TTZO LENU AKILI ZENU HAZIPO HURU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
mf mimi mwl ntajuaje huyu ana niumonia na huyu hana ? refer kwenye adhabu ya VIKOBO

NDO HOJA YANGU YA AWALI WAPIMENI WATOTO WENU AFYA KABLA HAMJAMKABIDHI KWA WALIMU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Una mihemko. Sasa ukiwa hujui ukampa adhabu mtoto akapata tatizo ndo unapata uhalali wa kufichwa na kutojieleza? Uhalali wa kutokuhojiwa? Uhalali wa kutokusema ni nini kilitokea na iwapo kama adhabu uliyotoa ni stahili au la? Mzazi alipokuja shule ulimueleza kuwa mtoto ulimuadhibu kwa kiwango gani? Au sababu anaumwa basi unapata kichaka?
 
Tukio linasikitisha sana lakn naomba nichangie kwenye hili Kuna Mwalimu alikuwa na kesi polis last wiki alipiga mtoto viboko viwili mkono ukavimba,kesi Ilikuwa kubwa madaktari wakasema pia kachapwa alama inaonekana kwenye mkono ni fimbo wakat kesi inaendelea mkono nao unazid kuvimba na kujaa mwisho ukaanza kutoa magamba na kunywea kuchunguza kumbe aling'atwa na mdudu maskini na kumbana vizuri akasema alianza kuumwa mkono sikumoja kabla ya kuchapwa
Sisemi Ni tukio zuri lakini Kuna namna maelekezo yazingatie pande zote mbili
MAELEZO NI MUHIMU. HUYO MWALIMU ALIYEMCHAPA HAKUFICHWA, ALITOKEA NA KUJIELEZA KUWA AMEMTANDIKA VIBOKO VIWILI.
 
unabishana na majibu ya madaktari ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Nao ni binadamu,na ukumbuke nao mishahara haiwatoshi,
kumbuka,hapa kesi kubwa ni mtoto kupigwa kupita kiasi.

Ndo maana ni muhimu sana kujiepusha kupigana.maana hatujui afya za watu.
Unawezapata kesi ya kuua kumbe umemmalizia marehemu alishakufa.

Kosa la huyu mwalimu ni kumpiga mtoto mangumi.
Subiri huyo mama apate channel ndo utaelewa
kama majibu ya daktari yanabishiwa au la.
 
kama kelele zingekwepo basi kesi ingekuwa sehemu fulani , soma bandiko na ulielewe , hiyo shule haipo mbinguni kwamba wazaz wangeshindwa kwenda kufanya fujo , huyo mwl wa field tena shule ya msingi tena vijijini simain kaa ana gari anapita kwenye makazi ya watu kwenda dukani au kupata huduma nyingine

HUYU MAMA NA WW MNABISHANA NA MAJIBU YA DAKTARI NA MNAONEKANA HAMKUBALI KUWA KIFO KINAKUJA MUDA WOWOTE HAKINA , NAEZA KUKUSUKUMA NA UKAFA MOJA KWA MOJA

TTZO LENU AKILI ZENU HAZIPO HURU

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Hata huelewi msingi wa hoja.
 
MAELEZO NI MUHIMU. HUYO MWALIMU ALIYEMCHAPA HAKUFICHWA, ALITOKEA NA KUJIELEZA KUWA AMEMTANDIKA VIBOKO VIWILI.
Yes ni muhimu Kila mtu atoe maelezo mzazi angewah polis kutoa maelekezo niba hakika Mwalimu angeitwa
 
Pole sana ndg mzazi... nawaza aina ya haki unayoitaka inaendaj kuziba hili pengo la mtoto wetu.
Nawaza tena ni namna gani huyu mwalimu aliona fimbo haimtoshi mtot wa drs la 1 hadi akamshindilia mangumi ya mbavu.
Mtot wa daras la1 ni kati ya umri wa miaka mi5,6 au 7. Mwalimu hata kama ni WA field kwel akunje ngumi amtandike nazo huyu kiumbe?
Uchunguzi ufanyike walau huu utata ututoke
 
Back
Top Bottom