Ni muda mrefu sasa sijasikia Clouds wakiperuuuuuuuuuzzzzzzzzzz na kudadisi gazeti la Mwananchi au ni masikio yangu mabovu???
Upeo wa clouds ni mdogo sana kuweza kupitia gazeti la mwananchi. Wamezoea umbea ukweli hawaweziiiii
Ni muda mrefu sasa sijasikia Clouds wakiperuuuuuuuuuzzzzzzzzzz na kudadisi gazeti la Mwananchi au ni masikio yangu mabovu???
Chadema kweli nie walalamishi. Mnafikiri kila mnachofanya jamii ipo pamoja nanyi?Ni muda mrefu sasa sijasikia Clouds wakiperuuuuuuuuuzzzzzzzzzz na kudadisi gazeti la Mwananchi au ni masikio yangu mabovu???
Chadema kweli nie walalamishi. Mnafikiri kila mnachofanya jamii ipo pamoja nanyi?
Watu wanaangalia mbali sio mazuzu ya kukokotwa kwa ukanda na udini.
Ni muda mrefu sasa sijasikia Clouds wakiperuuuuuuuuuzzzzzzzzzz na kudadisi gazeti la Mwananchi au ni masikio yangu mabovu???
redio ya watu mapepe, TUPA KULEEE!!
Clouds wote wako kwenye payrol ya rostam aziz
akili zako kama boga cdm wameingiaje hapa!chadema kweli nie walalamishi. Mnafikiri kila mnachofanya jamii ipo pamoja nanyi?
Watu wanaangalia mbali sio mazuzu ya kukokotwa kwa ukanda na udini.