Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Mimi ni mdau mkubwa wa gazeti la Mwananchi. Gazeti hili limetokea kupendwa sana kutokana na kuandika habari zinazoigusa serikali moja kwa moja.
Ninadiriki kusema kuwa wanaharibu kwani wanatoa kopi zisizotosha. Mimi binafsi toka saa sita ninazunguka mji wa Moshi na nimeenda hadi wilaya ya Hai kulisaka nisilipate. Je,mnatoa kopi chache zaidi?
Ninadiriki kusema kuwa wanaharibu kwani wanatoa kopi zisizotosha. Mimi binafsi toka saa sita ninazunguka mji wa Moshi na nimeenda hadi wilaya ya Hai kulisaka nisilipate. Je,mnatoa kopi chache zaidi?