Mwananchi Insurance Co. LTD

Mwananchi Insurance Co. LTD

Ali Matongo

Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
12
Reaction score
3
Habari wana JF.

Nahitaji kukata Bima ya Gari langu kampuni ya Mwananchi Insurance Co. LTD. Naomba kujua uzuri wa kampuni hii.

Naomba kuwasilisha!
 
Hahahaha,Hekimatele ameishanusa promo inataka kufuata hapa kwa ID nyingine.
Ngoja tusubiri,hahahaha

Ngoja nimsikilize vizuri kwa sababu kuna over 30 insurance companies in the country right now.
Why Mwananchi?
 
Habari wana JF.

Nahitaji kukata Bima ya Gari langu kampuni ya Mwananchi Insurance Co. LTD. Naomba kujua uzuri wa kampuni hii.

Naomba kuwasilisha!

Chunguza zaidi maana taarifa za hivi karibuni ni kuwa kampuni hii haiko sawa kama zamani kiuendeshaji.Uwe makini.
 
ukweli ni kwamba Mwananchi Insurance company haifanyi biashara kwa sasa. kuna mambo mpaka wayaweke sawa ndio warudi kwenye operation, kama wasipoweka sawa nadhani kampuni itafilisiwa. kwa kifupi Mwananchi Insurance Company is not Active. it is illegal to write new business. kwa hyo ukikata bima hapo ukipata loss sijui utaanzia wapi kudai mkuu.
 
ukweli ni kwamba Mwananchi Insurance company haifanyi biashara kwa sasa. kuna mambo mpaka wayaweke sawa ndio warudi kwenye operation, kama wasipoweka sawa nadhani kampuni itafilisiwa. kwa kifupi Mwananchi Insurance Company is not Active. it is illegal to write new business. kwa hyo ukikata bima hapo ukipata loss sijui utaanzia wapi kudai mkuu.

Fuata huu ushauri..
 
Back
Top Bottom