Wakuu,
Kweli watu tumevurugwa, yaani jamaa kaamua kupiga simu kabisa hawa machawa 😂
Haya sasa kampeni ianze kufanya kazi kwa wote wenye laini ya airtel 😂
Baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa laini ya Brenda Rupia ya Airtel iliyokuwa ikipokea michango imefungiwa ghafla na kampuni hiyo ya simu, mjadala mkubwa uliibuka mitandaoni. Wananchi wengi walitaka kufahamu sababu halisi ya hatua hiyo ya Airtel, huku wengine wakituhumu kuwa kampuni hiyo inatumiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kama njia ya kuikandamiza CHADEMA.
Soma pia CHADEMA: Namba ya simu ya Brenda Rupia iliyokuwa ikitumika kuchangisha michango imefungiwa na kampuni ya Airtel
Kweli watu tumevurugwa, yaani jamaa kaamua kupiga simu kabisa hawa machawa 😂
Haya sasa kampeni ianze kufanya kazi kwa wote wenye laini ya airtel 😂
Baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa laini ya Brenda Rupia ya Airtel iliyokuwa ikipokea michango imefungiwa ghafla na kampuni hiyo ya simu, mjadala mkubwa uliibuka mitandaoni. Wananchi wengi walitaka kufahamu sababu halisi ya hatua hiyo ya Airtel, huku wengine wakituhumu kuwa kampuni hiyo inatumiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kama njia ya kuikandamiza CHADEMA.
Soma pia CHADEMA: Namba ya simu ya Brenda Rupia iliyokuwa ikitumika kuchangisha michango imefungiwa na kampuni ya Airtel