GE2025 Mwananchi ampiga dongo Baba Levo, ni darasa la saba awezi kuliongoza jimbo Kigoma Mjini, anayefaaa ni Zitto

GE2025 Mwananchi ampiga dongo Baba Levo, ni darasa la saba awezi kuliongoza jimbo Kigoma Mjini, anayefaaa ni Zitto

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mwananchi kaamua kujisema bila kuogopa kwamba jamaa anajuwi kusoma wala kuandika, na Jimbo la Kigoma Mjini ni jimbo lenye viwanda kwahiyo linamtaka mbunge msomi.

Na akaukubali kupiga kura kwa Zitto Kabwe kwamba yeye ni msomi
================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameendelea na kampeni zake kwa kutembelea wananchi mtaa kwa mtaa katika Kata ya Buhanda, Kigoma Mjini, akiwahimiza kumpa kura ifikapo Oktoba 29, 2025.

Zitto amekuwa akitumia fursa hiyo kueleza sera na mipango yake ya kuwaletea maendeleo wakazi wa Kigoma Mjini, akisisitiza mshikamano wa wananchi katika kuchagua kiongozi mwenye dira ya kweli ya maendeleo.

 
BAba levo ataongea point gani bungeni, bora snitch zitto!
 
Hilo ni tatizo la kikatiba sio Baba Levo. Huyo mwananchi apiganie katiba mpya sio kupambana na Baba Levo.
 
Wote hawana credibility yoyote Ile, lakini ni hivyo basi Tu mambo ndivyo yalivyo hivyo chagua Kati ya "Mavi ya Mnywa gongo" au "Mavi ya Mla ugoro"
 
Back
Top Bottom