Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Moja ya mwananchi wa Somelo, Mkoa wa Ilala amembana Diwani kwa maswali magumu akitaka kufahamu yapi ameyafanya diwani huyo tangu alipoingia madarakani. Wakati muda huo hakuna kilichofanyika hadi sasa, Mwanachi huyo akamaliza kwa kumwambia diwani mwaka huu hatukutaki tena.
Pia soma Kuelekea 2025 - Arusha: Wananchi kata ya Murieti wampitisha Diwani kwenye dimbwi la maji kushuhudia changamoto wanazopitia
Pia soma Kuelekea 2025 - Arusha: Wananchi kata ya Murieti wampitisha Diwani kwenye dimbwi la maji kushuhudia changamoto wanazopitia