Mwananchi, akili za kuambiwa changanya na zako!

BekaNurdin

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
2,267
2,041
Ipo rangi nyekundu kwenye bendera yao. Nyekundu inawakilisha DAMU. Kitu chochote kinachowakilishwa na rangi nyekundu, kuanzishwa kwake kafara ya damu lazima ilitolewa. Ili kiendelee kuwepo ni lazima kafara ya damu iendelee kutolewa tena na tena. Ndiyo maana wanafosi maandamano ili damu imwagike!

Fikiria; wanapopata ruzuku, mbona hawaitishi wanachama wao au wananchi ili wagawane ruzuku? Ewe mwananchi uliye na usiye na chama usikubali kufanywa kafara ili kuhuisha chama cha siasa. Fikiria watoto au wategemezi wako utakaowaacha pindi ukitolewa uhai eti unapigania chama cha siasa cha wenzio.

N'nani atakayehudumia wanao au ndugu zako? Waonee huruma watoto au ndugu zako. Jiulize, familia zilizoachwa na marehemu wa kafara miaka ya nyuma mbona hawakumbuki kuzitunza?

Akili za kuambiwa changanya na zako!
 
Kwahiyo apple jekundu lazima damu imwagike?
Kijani lazima terminator wa anodi shwaziniger damu yake ya kijani imwagike.
Voda na airtel nao lazima damu imwagike kwa wauza line
Simba nao lazima imwagike kwa kukosa mechi za kimataifa.
Fallacy composition!!
Hakuna ukwel kwenye hizo intepretation
 
Ipo rangi nyekundu kwenye bendera yao. Nyekundu inawakilisha DAMU. Kitu chochote kinachowakilishwa na rangi nyekundu, kuanzishwa kwake kafara ya damu lazima ilitolewa. Ili kiendelee kuwepo ni lazima kafara ya damu iendelee kutolewa tena na tena. Ndiyo maana wanafosi maandamano ili damu imwagike!

Fikiria; wanapopata ruzuku, mbona hawaitishi wanachama wao au wananchi ili wagawane ruzuku? Ewe mwananchi uliye na usiye na chama usikubali kufanywa kafara ili kuhuisha chama cha siasa. Fikiria watoto au wategemezi wako utakaowaacha pindi ukitolewa uhai eti unapigania chama cha siasa cha wenzio.

N'nani atakayehudumia wanao au ndugu zako? Waonee huruma watoto au ndugu zako. Jiulize, familia zilizoachwa na marehemu wa kafara miaka ya nyuma mbona hawakumbuki kuzitunza?

Akili za kuambiwa changanya na zako!

Tatizo lako unaileta interpretation yako ya kijima na kipuuzi humu kwa waelewa walio wengi kwa zaidi ya 95% badala kwenda kijijini kwenu kule mabonde kwinama ukaitishe mkutano wa hadhara uwadanganye wanakujiji!!

Kuna waungwana wamekuuliza kuwa, kwa hiyo hata mfalme wenu anapotembea juu ya carpet nyekundu maana yake anakuwa anakanyaga damu za wananchi wake siyo??
 
Tatizo lako unaileta interpretation yako ya kijima na kipuuzi humu kwa waelewa walio wengi kwa zaidi ya 95% badala kwenda kijijini kwenu kule mabonde kwinama ukaitishe mkutano wa hadhara uwadanganye wanakujiji!!

Kuna waungwana wamekuuliza kuwa, kwa hiyo hata mfalme wenu anapotembea juu ya carpet nyekundu maana yake anakuwa anakanyaga damu za wananchi wake siyo??
Mbona hamuwaiti wananchi wakati wa kugawana ruzuku?
Familia za marehemu mliowatoa kafara siku za nyuma mbona hamuwahudumii?
 
Mmechanganyikiwa mna tumia kila mbinu kupambana Na UKUTA wengi wameanza kujenga UKUTA lazima mchanganyikiwe
Agenda ya kupinga UFISADI, tupilia mbali shimoni. Kujenga UKUTA sasa ndiyo agenda yenu!
 
Ipo rangi nyekundu kwenye bendera yao. Nyekundu inawakilisha DAMU. Kitu chochote kinachowakilishwa na rangi nyekundu, kuanzishwa kwake kafara ya damu lazima ilitolewa. Ili kiendelee kuwepo ni lazima kafara ya damu iendelee kutolewa tena na tena. Ndiyo maana wanafosi maandamano ili damu imwagike!

Fikiria; wanapopata ruzuku, mbona hawaitishi wanachama wao au wananchi ili wagawane ruzuku? Ewe mwananchi uliye na usiye na chama usikubali kufanywa kafara ili kuhuisha chama cha siasa. Fikiria watoto au wategemezi wako utakaowaacha pindi ukitolewa uhai eti unapigania chama cha siasa cha wenzio.

N'nani atakayehudumia wanao au ndugu zako? Waonee huruma watoto au ndugu zako. Jiulize, familia zilizoachwa na marehemu wa kafara miaka ya nyuma mbona hawakumbuki kuzitunza?

Akili za kuambiwa changanya na zako!

Mifano michache tu ya kukusaidia kuondokana na ujinga wa makusudi.

Bendera za "hatari" kwa mtazamo wako. Nchi hizi zimetopea katika umwagaji damu (kwa mtazamo wako pia)
flag-of-Canada.png
Canada: Bendera yao ni "practically red". Ulishasikia vita huko "miaka ya karibuni"?

flag-of-Norway.png
Vipi kuhusu Norway?
flag-of-Iceland.png
Iceland: Labda umwagaji damu pekee waliofanya ni kuiondosha England Euro 2016
flag-of-Switzerland.png
Switzerland: Damu ilimwagika lini kwa mara ya mwisho huku?

Vipi kuhusu hizi bendera zilizojaa "amani"?
flag-of-Cote-d-Ivoire.png
Ivory Coast
flag-of-Rwanda.png
Rwanda
flag-of-Somalia.png
Somalia
flag-of-Ukraine.png
Ukraine
flag-of-Kosovo.png
Kosovo
flag-of-Israel.png
Israel

Kama mnavuruga amani makusudi halafu mkatazamia rangi nne za bendera zitainusuru nchi, nendeni mkapimwe akili.
 
utotole utahangaika sana kuwaelewesha hawa watu, hoja iliyotolewa na mleta uzi ndiyo mawazo ya viongozi yalivyo hivyo tumeumia. Tz yetu inatia huruma.
 
Back
Top Bottom