Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Hamna lakini siyo kualika ma rapist IkuluNi nani katika ulimwengu wa leo aweza KUJINASIBU kuwa HE/SHE IS HOLY ... kuwa ndo afaaye tu kuingia MALANGO ya NYUMBA NYEUPE?
Hamna lakini siyo kualika ma rapist IkuluNi nani katika ulimwengu wa leo aweza KUJINASIBU kuwa HE/SHE IS HOLY ... kuwa ndo afaaye tu kuingia MALANGO ya NYUMBA NYEUPE?
Hakuna cha ajabu kama kuna hirizi mbona ni jadi na mila za kiafrika mkawaulize wazazi wenu kama hamjawahi kuvaa matunguli ya so called dawa mkiwa wadogo kama sio viunoni shingoni au mikononi hamna mpya wapinzani kajipangeni upya. Limebaki moja tu na hilo ndio litakuja kuwamaliza kabisa arudi lisu aje kuumaliza upinzani kabisa. Ndio mtakapo amka naona hamna pa kushika mkisikia kanisa limesema hivi mnarukia huko mkisikia mange kasema hivi mnarukia huko wafa maji .CHAPA KAZI MAGUFULI KELELE ZA CHURA HAZIMZUII NG'OMBE KUNYWA MAJI
Hamna lakini siyo kualika ma rapist Ikulu
Hahahaha hatar
NAKUHAKIKISHIA HIVYO NDIVYO ILIVYO LAZIMA WAWEPO KWENYE MAJUKWAA YOTE YA CCM
Kwahiyo jamaa yenu anamuiga LowasaLowassa alipoahidi kumtoa babu Seya mlikuwa mnahalalisha nini?
Ndugu yangu Hakuna Kesi ngumu Kama yakubaka Mtu akikubanansha nahii amekuweza Kama kuhonga utahonga na Jela utaishiNina kuelewa vyema,lakini kumbuka hata wakiingia jela wengi hutoka kwa kuhonga na kusingizia hakuna ushahidi.Hili nililifanyia research,rafiki Pesa inaongea lugha zote,ya kisiasa,kisheria na kidini usicheze na pesa inafua hata roho.
Utakuja kuniambia jinsi UBAKAJI na Kunajisi watoto kutakavyoongezeka kwa kasi ya bombadier.
Taifa letu litaendelea pale tu watanzania watakapoamua kuwa wakweli kwenye nafsi zao wenyewe
Jamani hawa watu wameachiwa kwasababu maalumu zaalie waachiaHivi kwa wafungwa wengine waliotoka kwamsamaha wakiomba kwenda ikulu watapewa nafasi? Kutoa shukran zaolabda
Ndugu yangu Hakuna Kesi ngumu Kama yakubaka Mtu akikubanansha nahii amekuweza Kama kuhonga utahonga na Jela utaishi
Mpaka ijekuthibitika huhusiki HOI
Bandege bafananao barukaga pamoja papaaaNdani ya Ikulu kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Hajawahi kukutana na viongozi wa upinzani lakini kaona umuhimu wa kukutana na huyo rapist wa watoto! Vipaumbele vyake vinashangaza sana.
Yaani ni wepesi wa kusahau na pia VIGEUGEU hatariLowassa alipoahidi kumtoa babu Seya mlikuwa mnahalalisha nini?