Mwanamme ukisha make it usisettle na broke women

Mwanamme ukisha make it usisettle na broke women

Is that what you think 😂? you really think everyone’s education comes from GPT? Young man look at how far your intelligence has taken you you’re making yourself look foolish get your mind right and fix yourself.

So far inaonekana unakua amazed sana mtu anapo reply na lugha tofauti fair qn what you're education level ?
You, you kila kituo, kweli upepo ukipuliza manyoya ya kuku...acha kukariri kila asiyeandika ushamba wako hana elimu, karne ya 21 bado unajivunia kingereza cha Rasi Simba?
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
 
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko wewe. Hapana. Tatizo ni kuwa na mtu ambaye hana hamu ya kujijenga kabisa, anaona pesa yako kama solution ya maisha yake, na anategemea kila kitu kitoke kwako. Leo unaweza kuwa na uwezo wa kumhudumia, lakini maisha yana seasons. Unachotafuta sio mtu wa kufaidika na mafanikio yako; unatafuta partner ambaye ana uwezo wa kujenga kitu chake pia.
The Mario Mindset
 
Utasikia mpo kwenye mahusiano anakuuliza upo na kazi gani,vp umejenga au umepanga akiona pangu pakavu ni mwendo wa kimya cm hazipokelewi tena,mkuu upo correct 💯 kabisa mimi demu asiyekuwa na kazi au tegemezi hapana
Nyie hqmtaki kuulizwa kama mna hela ila mnataka wanawake wenye hela muwaoe nyie vipi??
 
sisi pia tukisema tusi settle na broke man inakua kesi na maneno ya shombo ila nyie aaaah ni shega tu si ndio wanetu
Huyo huyo unayemuita Mwanaume masikini ukiingia nae kwenye mahusiano bado unamtegemea kwa kila kitu na mwanamke uoni hapo nitatizo? Ingekuwa na wao wanaingia mahusiano na wanawake ambao wanaleta value kwenye hayo mahusiano ingesadia kuyafanya yawe na afya
 
Wanawake mmesikia... na sisi tusikubali kusettle na broke men sawa enhee
Kitu gani una offer kwenye mahusiano yako? Unajua hata huyo mwanaume masikini still ana provide kwa mwanamke na yeye hakuna anachopata kwa huyo mwanamke hiyo ndio point anayomaanisha mtoa mada huyo mwanaume akija kufanikiwa huwa ni kwa juduhi zake mwenyewe iweje afanikiwe abaki na wewe wakati hukumsaidia kwa Chochote ndio maana mtoa mada VERIFY akapendekeza usiwe tena na huyo mtu tafuta independent woman mwenye mchango
 
Kitu gani una offer kwenye mahusiano yako? Unajua hata huyo mwanaume masikini still ana provide kwa mwanamke na yeye hakuna anachopata kwa huyo mwanamke hiyo ndio point anayomaanisha mtoa mada huyo mwanaume akija kufanikiwa huwa ni kwa juduhi zake mwenyewe iweje afanikiwe abaki na wewe wakati hukumsaidia kwa Chochote ndio maana mtoa mada VERIFY akapendekeza usiwe tena na huyo mtu tafuta independent woman mwenye mchango
Na mimi kama independent sitaki poor men, kila mtu ashikilie msimamo wake
 
Umemake au husimake, mwanamke unaye muoa hakikisha mcha Mungu, anakujeshimu na anajua nini maana YA maisha (kuna kukosa na kupata),husifanye maamuzi kwa kuangalia kipato cha mwanamke, mara zote hela yao chungu na wengi wao ni viburi na jeuri.

Sasa hivi Shoboka na Mkewe wanapigana vijembe, mke ana degree nne kasema hawezi kufua boxer,juzi mme akapiga dongo kwamba kuna wanawake wanamental health, baada ya kuwasikiliza waume zao wanakuja kulalamika kupigwa na waume zao,mwendo wa kupigana madogo ndani wamekuwa kama familia ya kambale wote ndevu. Ukirudi kwa Zaro kila siku anavitukana viben ten vyake, ukija kwa Shilole anabdilisha tu mabwana sababu ya ubabe Mzuwanda alikuwa anafumuliwa kwa Uchebe alileta ubabe kapigwa yeye hatujui wa sasa.

Kwenye dunia hii ya sasa kupata mke mwenye hela,ambaye atakujeshimu na kuijua nafasi yake kazi sana kwani wapo wachache mnoooooo, wengi wao wanaviburi na majeuri. Yote kwa yote husiipigie hesabu hela ya mwanamke haijawahi kuwa tamu. Hivi viben ten vinanyasika na kuwa abused kwenye mahusiano sema havisemi.
 
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko wewe. Hapana. Tatizo ni kuwa na mtu ambaye hana hamu ya kujijenga kabisa, anaona pesa yako kama solution ya maisha yake, na anategemea kila kitu kitoke kwako. Leo unaweza kuwa na uwezo wa kumhudumia, lakini maisha yana seasons. Unachotafuta sio mtu wa kufaidika na mafanikio yako; unatafuta partner ambaye ana uwezo wa kujenga kitu chake pia.

Mwanamke mwenye abundant mindset haoni mafanikio yako kama threat wala ATM. Anaelewa kwamba pesa ni tool, sio personality. Anaweza kuwa bado hajafika mbali, lakini ana vision, anajifunza, anafanya kazi na anatafuta namna ya kuongeza value yake. Huyo anaweza kuwa broke leo lakini si broke minded. Kuna tofauti kubwa kati ya mtu ambaye hana pesa kwa sababu bado yuko kwenye safari na mtu ambaye hana pesa kwa sababu hana ambition ya kuanza safari. Usichague partner kwa balance ya bank account pekee; angalia mindset, discipline, ambition na uwezo wa kujisimamia.

Kwa sababu ukweli ni kwamba ukimchagua mtu asiye na direction, baada ya muda unaweza kujikuta unambeba kila upande financially, emotionally na mentally. Na hapo relationship inaweza kuacha kuwa partnership na kuwa dependency. Mwanaume anayejenga future yake anahitaji mwanamke anayeelewa future, sio mtu anayemrudisha nyuma kwa matumizi yasiyo na mwisho, entitlement na kutokuwa na plan. Haimaanishi usimsaidie mwanamke wako. Msaidie, support him/her, share what you have but usijenge maisha ambayo yanaweza kusimama tu kwa sababu wewe una pesa. Partner bora ni yule ambaye hata ukipoteza kila kitu leo, bado ana akili, skills na determination za kuanza tena pamoja nawe.


Kwa hiyo ukisha make it, usiogope kuchagua kwa standards zako. Usichague mwanamke kwa uzuri wake pekee halafu baadaye ugundue kwamba hamna direction moja ya maisha. Tafuta mtu ambaye anaweza kusema, “Hiki ni chako, hiki ni changu, na hiki tunajenga pamoja.” Pesa yako iwe baraka kwenye relationship, sio sababu ya relationship kuwepo. Usitafute dependent, tafuta partner. Usitafute mtu wa kula matunda ya mti ulioupanda peke yako; tafuta mtu ambaye yuko tayari kupanda miti pamoja nawe. Hiyo ndiyo tofauti kati ya kuwa na mtu anayefurahia mafanikio yako na kuwa na mtu anayesaidia kuyazidisha.

Avoid broke b*tches by any costs.
Nyakati hizi wanawake wamekuwa kama wawindaji kabisa,ukiwa mwenye senti kidogo ni shida sana unawindwa kwa nguvu zote na uchawi pia!
 
Nyakati hizi wanawake wamekuwa kama wawindaji kabisa,ukiwa mwenye senti kidogo ni shida sana unawindwa kwa nguvu zote na uchawi pia!
Wanawake wa siku hizi wanamatatizo sana wanasema gender equality lakini ikifika upande wa kuhudumiwa mwanamme ndo awe provider hii hua inanishangaza sana.
 
Back
Top Bottom