juma munna
Member
- Sep 26, 2012
- 10
- 0
Nikiwa kama kijana ninaejitambua kwa maana nishakuwa mkubwa sasa kila kitu kinabadilika kutokana na UMRI unavyoongezeka so kama mwana JF mwenzenu nimefikia wakati sasa wa kuwa na mwenzangu ndani ya nyumba ili nipate utulivu. Wanawake ni wengi wenye kila aina ya sifa uzuri na tabia tofauti tofauti kwa hivyo basi nimekuja kwenu kama wakubwa wangu na ndugu zangu najua kuna wengine tayari wameshaoa humu wengine wamechumbiana so mnajua raha ya kuwa na mke na karaha pia kutokana na tabia zao nawaomba mnisaidie ni mke mwenye tabia zipi anaefaa kuolewa nisije nikaoa gume gume ndugu yenu ni hayo tu