Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
- Thread starter
- #41
Uje ulipie sasa nishalewa hapa
Sent from my iPhone using JamiiForums
ha ha ha😀😀😀😀 da umemifanya nicheke kwa kweli, afu nikuulize kitu mfano nimemtokea mdada kwa ajili ya future na nina malengo nae,Ni sahini kweli kumtunza wakati hata sijamuoa?Ajabu ni kwamba hata wale wanawake wanaopenda 50/50 watakuja kuunga mkono hoja
Nimegundua kwamba Wanaume wenye akili tupo wachache sana, yaani mwanaume mzima na bichwa kubwa unakuja kujisifu kwa kuhonga/kuhudumia kimada..?? Seriouly..??
Unahudumia mke ambae anavitu vingi vya ku offer zaidi ya K. Mke atakuzalia, anakufulia, anakupikia na vitu vngne kibao sasa huyo kimada anakupa nn zaidi ya K..?? Na si ajabu mnahudumia wanaume kibao mpo kwenye foleni.. Yaan kuhudumia mwanamke ambae sio mkeo ni udhaifu na uboya wa kiwango cha SGR.
K is not for sale or for any kind of exchange, mwanaume kununua K ni ufala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna utofauti kati ya kuhudumia na kununua soma vzr then comment
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtoa mada, naona umeandika hii thread ili upate sifa toka Kwa wadada wa humu jf, ila anyway here are my 2 cents
1) Mwanaume kuhudumia mwanamke si kosa
2) Mwanaume hudumia kulingana na bajeti yako, usifilisike kisa kuhudumia mdada..LA sivyo utafilisika na wadada watakukimbia
3) Mwanaume hakikisha unahudumia mdada alievutiwa na ww kimapenzi, LA sivyo utaishia hudumia huku wengine wanakula bure, au unahudumia huku unaonwa boya na unachekwa kimoyomoyo Champagnee
Mie nasapoti hilo!! Wanahitaji matunzo kweli kweli!! Wapewe tu! Tuzo za GRAMMY, OSCAR, BET, channel O ikiwezekana hata za kili, zile za sinema zetu!! Wapewe tuu!!
[emoji41][emoji41][emoji41]
NakujaUje ulipie sasa nishalewa hapa
Sent from my iPhone using JamiiForums
We jamaa kweli bado sana, kwa hyo kuhudumia ndio unakua unafanya vitu gani..?? Au hutumii pesa..?? Anyway we endelea tu kuhudumia mzee ila kuna wenzio wanajilia bure kabisaaKuna utofauti kati ya kuhudumia na kununua soma vzr then comment
Sent from my iPhone using JamiiForums
We jamaa kweli bado sana, kwa hyo kuhudumia ndio unakua unafanya vitu gani..?? Au hutumii pesa..?? Anyway we endelea tu kuhudumia mzee ila kuna wenzio wanajilia bure kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada jifunze kutofautisha Mke na Mwanamke.
Mke kweli anahitaji matunzo, ila huyo mwanamke mpumbavu anayekubali kukuvulia nguo wakati wewe sio mmewe huyo hastahili hata mia mbovu.
Wewe utakuwa DJ sio bure....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji95][emoji91][emoji95][emoji91]Mkuu huku nyuma hatusikii ongeza speaker mid moja na bass ya fidek
Ni kweli wewe si mwanamke for sureUna uhakika gani mimi ni mwanamke mwenzao?
Wewe utakuwa DJ sio bure....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji95][emoji91][emoji95][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhahahah eti for sure!!!
Tunagegeda kwa hela mkuuNimegundua kwamba Wanaume wenye akili tupo wachache sana, yaani mwanaume mzima na bichwa kubwa unakuja kujisifu kwa kuhonga/kuhudumia kimada..?? Seriouly..??
Unahudumia mke ambae anavitu vingi vya ku offer zaidi ya K. Mke atakuzalia, anakufulia, anakupikia na vitu vngne kibao sasa huyo kimada anakupa nn zaidi ya K..?? Na si ajabu mnahudumia wanaume kibao mpo kwenye foleni.. Yaan kuhudumia mwanamke ambae sio mkeo ni udhaifu na uboya wa kiwango cha SGR.
K is not for sale or for any kind of exchange, mwanaume kununua K ni ufala.
Sent using Jamii Forums mobile app