Nishakutana na mtu kashusha injini kama mara nne hivi...mbona nilikimbia!!!
sasa uliogopa nini??si umetaka ukweli mwenyewe...
Nishakutana na mtu kashusha injini kama mara nne hivi...mbona nilikimbia!!!
Hahaha hapo ukweli ulijenga aisee...asingeniambia na ningekuja kugundua baadae mbona kingenukaaa
anajua nimestaafu uasherati na sasa anafaidi maana kwangu hakuna kigeni...
sasa uliogopa nini??si umetaka ukweli mwenyewe...
.....ungebaki unaitikia tu kama yule wa kwenye easy pesa.
Hahaha...yule ni wa Zantel Internet si Zantel "EasyPesa"
Ila all in all binafsi katika suala la mahusiano na mapenzi, huwa ni mfuasi wa kubainisha mambo mapema na huwa sipendi ku-deceive watu hata kidogo...
Ni vyema mtu akajua black & white tangu mwanzo ili isiwe "breaking news" siku za usoni...
Yaani unataka akueleze kila kitu, kwani amekuja kwa baba paroko kuungama makosa yake? mm hicho ndicho sifanyi as long as umenikuta kweupe wenzio wameshapita sasa naungama nn tena kwako, ukiona hakuna kitu kweupe jua wenzio wameshapita so una ihali ya kununua au kuacha.
Hashahahaahahahhaaha!!!! Loh!! Mtambuzi wala hunidanganyi naendelea kukaa kimya hivi hivi wal sisiemi ng'ooooooooo!!! unaweza ukasema yakawa makubwa yasiyoisha, na kila utakachofanya utaambiwa si yule bwana wako ndiye anayekutia kiburi, kumbe walaaaa hna hata kumbu kumbu naye. Mimi thithemi ng'ooo!!!
Hashahahaahahahhaaha!!!! Loh!! Mtambuzi wala hunidanganyi naendelea kukaa kimya hivi hivi wal sisiemi ng'ooooooooo!!! unaweza ukasema yakawa makubwa yasiyoisha, na kila utakachofanya utaambiwa si yule bwana wako ndiye anayekutia kiburi, kumbe walaaaa hna hata kumbu kumbu naye. Mimi thithemi ng'ooo!!!
Nishakutana na mtu kashusha injini kama mara nne hivi...mbona nilikimbia!!!
Kuna watu wanajua kung'ang'ania kusimuliwa historia mpaka unajikuta umetoa maelezo yooote! Hapo sasa ndio unasubiria kukimbiwa au la! Ila uzuri wa kusema yote unabaki huru, muhusika anaamua mwenyewe kusuka ama kunyoa.
Pole....
Unaweza zua donda ndugu, lisilo pona wala kutibika
haki ya kweli usingekuwa shem wangu ningejua ni kakangu.........Kusema cha ukweli ladyfurahia nimejieleza sana kwa mama Ngina hakuna nilichomficha maana sikutaka yawe makubwa hapo baadaye. Nilimwambia aamue mwenyewe kama tuoane au la.
Kuna siku binti mmoja family friend alimweleza kuhusu mpenzi wangu wa zamani ambaye nilipeleka posa kwao, lakini nikagundua kuna tatizo nika withdraw posa yangu fasta.
Huyo binti alijua kuwa mama Ngina hajui hiyo habari alipokuwa anamwaga huo umbea mama Ngina akamwambia anawafahamu wasichana wangu wote niliowapitia na baadhi ya picha zao alimuonyesha, akamwambi mke wangu kuwa ana moyo kama ingekuwa yeye wala asingekubali kuolewa na mimi. lakini kwa bahati mbaya huyo binti hajaolewa hadi leo anatembea tu na waume za watu..........
ha haaa, rafiki unanisema mimi?Kuna watu wanajua kung'ang'ania kusimuliwa historia mpaka unajikuta umetoa maelezo yooote! Hapo sasa ndio unasubiria kukimbiwa au la! Ila uzuri wa kusema yote unabaki huru, muhusika anaamua mwenyewe kusuka ama kunyoa.
Kumbe wewe ni msikilizaji? Sijawahi kupata hiyo nafasi ya kuwa msikilizaji. Huwa nakosa hamu ya kusikiliza pale tu ninapohisi kuna udanganyifu wa aina yoyote ile! Kwangu mie bora usinisimulie kama simulizi yako utakuwa na uongo ndani yake. Mie nimetokea kuwa msimulizi.ha haaa, rafiki unanisema mimi?
maana napenda kuhadithiwa siyo mchezo.... eti mimi naona adventure fulani hivi.....
mwenyewe huwa naziita movie - live, na ukinikuta ninavyouliza maswali na kusikiliza kwa makini as if nimeambiwa nitaandikia mtihani, lol!