Mwanamke wa sifa gan anafaa kuwa mke??

Mwanamke wa sifa gan anafaa kuwa mke??

1.Ukimuangalia machoni anakuvutia
2.Anakusaidia kupatana na familia yako...na anakuwa mstari wa mbele kuwa karibu na familia yako.
3.Anakusaidia katika dini yako na anakua nyuma yako katika kuifata dini yako.
4. Anakusaidia katika kulinda mali yako....na anakua mstari wa mbele katika kuilinda mali yako.
5.Ana kusaidia katika kulinda hishma yako....na anakua mkali anaposikia imevunjwa hishma yako......

Anza na hizi mkuu...hakuna mkamilifu ulimwenguni....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom