Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,943
Hapa ninakuwa kama BUBU ATAKA KUSEMA...
One thing is for sure though, utakapokutana naye, utajua! Maushauri na mitazamo yetu itakufa papohapo hutosikiliza cha mwazini wala nini sijui wanasemaga..you will just know it in your heart!!!
1.Makalio makubwaaaaaaaaaaaa
2.sura kama mtoto wa mjomba kagame
3.saa sita...au na nusu
4.awe anajua kugegedana (apa unam-test kabisa...hakuna kuuziana mbuz kwe gunia)
hapo kwenye makalio makubwa yaani ni balaaMrefu, mwenye rangi nzuri, makalio makubwa, hips,na miguu minene....
mh kumbe kuna tutakaoachwa eeh!..dah haya mahaba nipoteze kama ndege ya malaysia ni tabu.
Tehe tehe.....izo sifa najaribi kumpa mleta mada...
Zangu tofataut kabisaaaa....so ucjal mom fay..tehe
Hapo ndo mke alipo sasa....hapo kwenye makalio makubwa yaani ni balaa
Mrefu, mwenye rangi nzuri, makalio makubwa, hips,na miguu minene....
Hapo ndo mke alipo sasa....
Sifa ulizoandika huyo ni mwanamke starehe maana wengi wao wenye sifa hizo huwa hawaolewi na wakiolewa ndoa zao huwa zina migogoro