Mwanamke wa sifa gan anafaa kuwa mke??

Mwanamke wa sifa gan anafaa kuwa mke??

Utakae mkubali na kuamua kumpenda alivyo.
 
Kwenye uhalisia kuna wakati utakuwa huna ata hamu navyo tena ''Law of Diminishing marginal Utility'' Kama ndio vilivyokuvuta unadhani bado atakuwa na thamani kwako? au pengine akapungua au kunenepa kupita kiasi. By the way natambua wewe ni KE.
Mrefu, mwenye rangi nzuri, makalio makubwa, hips,na miguu minene....
 
Ninyi watu mmepinda kweli. Kuna mtu hana sehemu za siri?

hahhaa, muuliza swali ndiyo kapinda, anajua kabisa kuwa mwanamke yeyote anafaa kuwa mke, hizo zingine ni preference zake tu, sjui mnene, mfupi, mmwenye kujua kuimba taarabu, hizo zote mbwembwe tu cha muhimu ni sehem ya uzazi kwa ajili ya reproduction na starehe, na maziwa ya kunyonyeshea watoto, basi.
 
1.Awe mwenye hofu ya mungu 2.mwenye mawazo ya kimaendeleo 3.asiyewe tegemezi kupita kiasi 4.mwenye heshima na uvumilivu wa kila jambo.5.mwenye upendo wa dhati na c wa kitu.ni hayo tu!
 
Mwenye hips la ukweee na akicheka. Anamwanya ili wakipita wale wanaohusudu michepuko wakimgeukia tu waangushe magari mitaroni na wakuvunjika shingo zisipone tena.
Michepuko itaisha😱
 
Back
Top Bottom