na mimi ni kama nimeliona hilo kazi kweli kweli
Nadhani hujakuwa muwazi...ingekuwa vizuri tungesikia na upande wa huyo mchumbaako pia maana haiwezekani awe na kelele tu..Kuna chanzo cha kila kitu na inawezekana wewe mwenyewe ni chanzo...Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.
He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.
Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.
Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.
Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.
Kale ka mlio ka clouds fm..."Noma sanaaa"
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.
Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote
Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.
Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote
Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi
Nadhani hujakuwa muwazi...ingekuwa vizuri tungesikia na upande wa huyo mchumbaako pia maana haiwezekani awe na kelele tu..Kuna chanzo cha kila kitu na inawezekana wewe mwenyewe ni chanzo...
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.
Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote
Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi
Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.
He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.
Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.
Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.
Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.
hii sehemu (bold) nimeipenda sana
Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.
He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.
Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.
Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.
Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.
Kale ka mlio ka clouds fm..."Noma sanaaa"
Akikupigia cm tena wakati una ukame pokea na mkubalie then piga afu achana nae. Hii ndo dawa ilio bakia ndg make vitabu vishaeleza, Mashehe miskitini, Mapadri makanisani, Wachungaji, Akina Dr. Ndodi, Madakitari wa mapenzi, Mama&Baba zetu lakini hawaskii!!!
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.
Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote
Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi
....Nakuelewa sanaMadame nimekuelewa. But kiufupi..kama nilivyotangulia kusema...tuliwekeana principal za kuishi. Mfano binafsi...sipendi mwanamke wa kujinunisha ovyo na kushikiria mambo...mambo yakitokea..mnayasolve yanaisha..na iwe kabla hamjalala yameisha...sio mpaka kesho yake mnaongelea the same thing as if hakuna issue zingine za kufanya au kufikiri. So tulikua tunarumbana sana mara kwa mara...mpaka unakua unashangaa....what is going on daah!!!..simu yangu simu yake na ya kwake ya kwake...yangu kila time anayo...ya kwake hataki uiguse.Bahati nzuri sina mambo mengi...so simu yangu ilikua ok muda wote.Nikampa mpaka passwords za social networks zangu. Alikua anapenda ugomvi tu na kunionea ndo furaha yake. Koz am a type of person ambaye sipend kuongea sana..kubishana. ..hua nasikia kama kichwa kinauma. So ni mara nyingi tumesuhulishwa tena kibaya zaidi na watu wa nje....sipend kweli hii kitu yani. Ninachomwambia hanielewi...mpaka aende kwa marafiki wamwambia kua anakosea ndio anakuja kuniomba msamaha. Kingine alichokua ananikera zaidi ni kuwaweka marafiki mbele kuliko mimi...na sometimes alidiriki kutoniheshimu mbele yao. It was too much and i was watching her like a chimpazee koz nilimwambia mara nyingi na akawa anataka ubishi mie nijielezee sana...mpaka watu majiran watusikie wajae. I wasnt ready kwa hilo kwa kweli.