Mwanamke wa kizungu ananidrive crazy

Mwanamke wa kizungu ananidrive crazy

ntabudjo

Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
70
Reaction score
69
Tangu tuingie kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyawezi, nimekuwa nikipata shida sanaa hasa wakati nikiwa nae coz, mara nyingi anapenda mimi nimchagulie kila kitu. Hata nikimuomva papuchi ananijibu as you wish...... Yaaani kila kitu anasema yes.....Inanipa wakati mgumu sanaa kutambua anapenda nini na anachukia
Nimejaribu kumshauri na kumwambia kama mimi sio mwalimu wake katika maish, tunafundishana wote kwa pamoja kwa maana wote hatufahamu vizuri huu mchezo wa mapenzi.
But haelewi kabisaaa. Akiwa na marafiki zake wanaweza panga mambo yao freshi. lla akiwa na mimi, anataka nipange kila kitu but naogopa sanaa kumpangia kwa maana tamaduni.

Naombeni ushauri nifanyeje ili mambo yakae sawa. Coz namuelewa sanaaa huyu mnyamwezii.
 
Duuh! Ndio maana mahusiano ya sikuizi ovyo ovyo tu.. hadi jambo hilo wataka kanamdasi ikushauri!!??
Jiongeze kidume, wacha kuwa lodilofa
 
Kwanza tu lugha unayotumia kuandika hapa ni ya kijiwen sana pengine anataka kuona jinsi gana unajua kujiongeza ili ajue kama ana mwanaume au mvulana
 
Tumekuelewa mkuu una manzi ya kizungu /kinyamwezi
 
Tangu tuingie kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyawezi, nimekuwa nikipata shida sanaa hasa wakati nikiwa nae coz, mara nyingi anapenda mimi nimchagulie kila kitu. Hata nikimuomva papuchi ananijibu as you wish...... Yaaani kila kitu anasema yes.....Inanipa wakati mgumu sanaa kutambua anapenda nini na anachukia
Nimejaribu kumshauri na kumwambia kama mimi sio mwalimu wake katika maish, tunafundishana wote kwa pamoja kwa maana wote hatufahamu vizuri huu mchezo wa mapenzi.
But haelewi kabisaaa. Akiwa na marafiki zake wanaweza panga mambo yao freshi. lla akiwa na mimi, anataka nipange kila kitu but naogopa sanaa kumpangia kwa maana tamaduni.

Naombeni ushauri nifanyeje ili mambo yakae sawa. Coz namuelewa sanaaa huyu mnyamwezii.
Ukhanis mtupu umetuletea
 
Tanzania ya viwanda yaja wewe bado umelala unawaza kukazana tu
 
Tanzania ya viwanda yaja wewe bado umelala unawaza kukazana tu
 
Mkiwa huko vyote mnafanya hata kulamba mnalamba mkifika kwa kina Mwajuma ndala ndefu hayo hamfanyi
 
Tangu tuingie kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyawezi, nimekuwa nikipata shida sanaa hasa wakati nikiwa nae coz, mara nyingi anapenda mimi nimchagulie kila kitu. Hata nikimuomva papuchi ananijibu as you wish...... Yaaani kila kitu anasema yes.....Inanipa wakati mgumu sanaa kutambua anapenda nini na anachukia
Nimejaribu kumshauri na kumwambia kama mimi sio mwalimu wake katika maish, tunafundishana wote kwa pamoja kwa maana wote hatufahamu vizuri huu mchezo wa mapenzi.
But haelewi kabisaaa. Akiwa na marafiki zake wanaweza panga mambo yao freshi. lla akiwa na mimi, anataka nipange kila kitu but naogopa sanaa kumpangia kwa maana tamaduni.

Naombeni ushauri nifanyeje ili mambo yakae sawa. Coz namuelewa sanaaa huyu mnyamwezii.
Huna akili
 
Tangu tuingie kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyawezi, nimekuwa nikipata shida sanaa hasa wakati nikiwa nae coz, mara nyingi anapenda mimi nimchagulie kila kitu. Hata nikimuomva papuchi ananijibu as you wish...... Yaaani kila kitu anasema yes.....Inanipa wakati mgumu sanaa kutambua anapenda nini na anachukia
Nimejaribu kumshauri na kumwambia kama mimi sio mwalimu wake katika maish, tunafundishana wote kwa pamoja kwa maana wote hatufahamu vizuri huu mchezo wa mapenzi.
But haelewi kabisaaa. Akiwa na marafiki zake wanaweza panga mambo yao freshi. lla akiwa na mimi, anataka nipange kila kitu but naogopa sanaa kumpangia kwa maana tamaduni.

Naombeni ushauri nifanyeje ili mambo yakae sawa. Coz namuelewa sanaaa huyu mnyamwezii.
Yuko kwenye utalii, ukikua utaacha hadithi kama hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom