Mwanamke wa kizungu akisuka ukili

Mwanamke wa kizungu akisuka ukili

mzizi naona umeamua kuja na kitu cheupe home kanyigo
 
Huyo yupo hapa kujifunza - utakuta anafanya PhD yake !! ndio maana wana akili
 
Fafanua kidogo mkuu,bado sijakusoma!
Binaadamu hazaliwi akiwa na ujuzi fulani eti anatoka Afrika au ulaya bali anapata ujuzi kutokana na kujifunza hivyo mazingira anayokulia nayo yatakuwa utamaduni wake!
 
MziziMkavu , huyo ndiye shemeji yetu?:ranger:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom