Mwanamke wa Club

Mwanamke wa Club

then na wewe unatumika.vya bure peleka samaki samaki tu pengine itakula kwako

natumikaje ? ujipendekeze alafu unitumie unaakili kweli wewe? .... unikute bar alafu ununue mwenyewe kwa kujishaua kwako alafu utegemee utanitumia forget
 
natumikaje ? ujipendekeze alafu unitumie unaakili kweli wewe? .... unikute bar alafu ununue mwenyewe kwa kujishaua kwako alafu utegemee utanitumia forget

Endekeza hayo siku moja utajuta.Ukinywa zangu unatumika tu hata kwa bludoza.wengine hatunywewi.kawanywee wasiojiweza.pesa nitafute nyuma ya risasi za kova then uniletee za uzuri? pole sana.
 
Endekeza hayo siku moja utajuta.Ukinywa zangu unatumika tu hata kwa bludoza.wengine hatunywewi.kawanywee wasiojiweza.pesa nitafute nyuma ya risasi za kova then uniletee za uzuri? pole sana.

basi ukome kulipia bill zisizokuhusu ..... unikute bar ujipendekeze kuninunulia alafu utake kunitumia nyoooooooo. utachora chini
 
basi ukome kulipia bill zisizokuhusu ..... unikute bar ujipendekeze kuninunulia alafu utake kunitumia nyoooooooo. utachora chini

ndoo maana nasema kama una mtindo huo siku moja tukikutana .utajuta. kwa nini husitumie fedha zako.ukileta za ujinga unamfuata amina chifupa. acha kuchezea fedha za watu. kama hutaki kutumika,una fedha zako,kataa offer basi.labda unaishi mkoa
 
Wanawake ni wepesi kubadilika na kucop na mazingira
Pia mazingira huwafanya wakue haraka .mnaweza kuwa mnaenda club au kwenye mabar kwa sasa lakin mtakapo oana utashangaa hayupo intersted tena .
 
ndoo maana nasema kama una mtindo huo siku moja tukikutana .utajuta. kwa nini husitumie fedha zako.ukileta za ujinga unamfuata amina chifupa. acha kuchezea fedha za watu. kama hutaki kutumika,una fedha zako,kataa offer basi.labda unaishi mkoa
nakataa jamaa kakomaaa ya nini kubembelezana we utajijua nimekuja peke yangu umenikuta .. si hitaji huduma yako .. unajipendekeza to hell
 
ndoo maana nasema kama una mtindo huo siku moja tukikutana .utajuta. kwa nini husitumie fedha zako.ukileta za ujinga unamfuata amina chifupa. acha kuchezea fedha za watu. kama hutaki kutumika,una fedha zako,kataa offer basi.labda unaishi mkoa

Mkuu mbona umepanic
 
......na mwanaume anayeenda kwenye kumbi za starehe, hivi anaweza kuwa mume mwema?
 
Ndege wafananao....! Wa club nawaachia wengine..!
 
Kama wewe ni mwanaume ambae kila mara unaenda sehemu za starehe unaweza kweli kuwa mume mwema?! Kama jibu ni NDIO basi pigia mstari, kama ni HAPANA basi tena jua it wasn't meant to be uendelee zako kula starehe.
 
Back
Top Bottom