kazi/kipato /pesa = securityTukirudi kwenye mahitaji ya msingi ya mwanamke kutoka kwa mwanaume ni:-
1. Security
2. Kupendwa
3. Kusikilizwa
4. Kupetipetiwa (kumrairai)
Na jambo la ajabu ambalo halipo kwenye mahitaji ya msingi la mwanamke ni kazi/kipato/pesa
rudisha ile ya zamani nzuri..Hahahhaha
Usiipende tu mwenyewe nimeipenda uko nilipoikuta nikaiiba
rudisha ile ya zamani nzuri..
Hiyo style ya nywele siipendi!!..Na hii utaizoea bana au ndio unanilipizia kama nilivyokufanyia
Kama yupo romantic tutakwenda sawa hata asipokuwa na kaz
Sasa mwingine hana kaz hajui mapenzi hilo zigo LA nin??
Sasa pesa za kunipa atatoa wapi kama hana kazi?
Maamuz huambatana na mipango nduguRomantic eeeheee maisha ya sahivi??
Imagine mnaishi jiji la Dsm mwanaume hana kazi na nyumba mmepanga
Love don't cost a thing.
Kwani una-date kazi au?
Tupo bana..nilishakua na kaka miaka 3 hana kaz hana nn na nilimpenda Sana n tulikuja achana alinicheat, lkn mm nilimpenda kwa hali yake ile ile!Write your reply...
demu wa kibongo kama huna kazi huwezi kumpata labda u-fake fake uazime pamba nini, n.k.
U good!Tupo bana..nilishakua na kaka miaka 3 hana kaz hana nn na nilimpenda Sana n tulikuja achana alinicheat, lkn mm nilimpenda kwa hali yake ile ile!
Hiyo style ya nywele siipendi!!..
Hapo kwenye security ndiyo imejificha hilo suala la kipato/kazi na pesaTukirudi kwenye mahitaji ya msingi ya mwanamke kutoka kwa mwanaume ni:-
1. Security
2. Kupendwa
3. Kusikilizwa
4. Kupetipetiwa (kumrairai)
Na jambo la ajabu ambalo halipo kwenye mahitaji ya msingi la mwanamke ni kazi/kipato/pesa
Maamuz huambatana na mipango ndugu
Huwez kurupuka kufanya maamuzi magum yatakayo kuumiza
Nilikukimbia wapi?????Halafu wewe ukanikimbia.....
Haujakosea chiefHapo kwenye security ndiyo imejificha hilo suala la kipato/kazi na pesa