Mwanamke unaweza kudate na mwanaume ambaye hana kazi?

Kimaandishi inawezekana ila kiukweli ukweli huyo mwanaume akipendwa ajiandae kisaikolojia maana sie jama sie wanawake midomo yetu tunaijua wenyewe hasa pale kama hivyo Me hana kazi tena ukiangalia kila jambo tunajigharamia.

Hata awe hodari kwenye kila kitu, atapendwa sawa ila asije siku kutibua lazima masimango ayapate na ile michambo yake itafanya atafute kazi afanye hata kama ya kubeba zege.

La sivyo awe ka boya.
Hayo masimango ndio yata mark the end of our relationship!
 
At last we umekuja kwenye dhana halisi ya mapenzi na kupendana kwa haki! Agiza kinywaji unachopenda ntalipia mkuu,,,this is what is supposed to be love na sio biashara haramu inayofanywa na hawa wanawake wa kileo ya kutoa mapenzi penye pesa tu which means zikikata ghafla hamna rangi utaacha ona!
Hahah,...ahsante chief nimekunywa Pepsi bariidi,.
 
Mapenzi yapo mbali sana na fikra za watu!!....

Mapenzi ni kitu kinachojitegemea kabisa na kinasimama imara!!!!

Na Siku zote mapenzi huleta matokeo ya kushangaza na kustaajabisha!!!.....

Ndio maana wahenga wanasema penzi ni upofu!!!....
 
Been there done that! Haifanyi kazi abadan...

Mwanaume hakubali uwe na asichonacho labda matiti tu. Kikubwa ni kutojiamini, wivu usio na misingi na kile kinachokera kuliko vyote "KUOMBWA PESA" dah mimi niombe hata roho yangu ila mtoto wa kiume ukiniomba pesa siwezi kukuheshimu hata siku moja. Chakula nitapika tule, pombe nitanunua tunywe ila pesa kaombe kwa wazazi wako!
 
Been there done that! Haifanyi kazi abadan...

Mwanaume hakubali uwe na asichonacho labda matiti tu. Kikubwa ni kutojiamini, wivu usio na misingi na kile kinachokera kuliko vyote "KUOMBWA PESA" dah mimi niombe hata roho yangu ila mtoto wa kiume ukiniomba pesa siwezi kukuheshimu hata siku moja. Chakula nitapika tule, pombe nitanunua tunywe ila pesa kaombe kwa wazazi wako!
Mi mwanaume akiniomba pesa naweza kumshangaa dk 50 bila kupepesa macho...mpaka atajuta kwann aliomba!
 
inawezekana kama wewe una kazi ila namnukuu mugabe alisema" to have a girl that does not need the money from you it is better to be alone" namsupport kwa 100%
 
Back
Top Bottom