goldcall
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 394
- 535
Ninasisitiza tuu! Naona kuna tofauti kubwa sana kati ya Mwanaume na Mwanamke katika suala la usafi, sina maana kuwa Mwanaume awe mchafu lahasha, ninamaanisha Mwanamke awe msafi zaidi kuliko hata Mwanaume kutokana na maumbile
Unakuta Mwanamke analeta kiss halafu mdomo unanuka, aseeh. Mwanamke mzuri lakini unakuta hujajitambua, kuna halufu inakuja na kupotea kama ubwabwa hivi. Usikute na shule amekwenda, halafu linasisitiza ndoa, na vizinga, pumbavu, futa namba.
Yalinikuta hayo wadau, first date, unakutana na mtu, nguvu za kiume zinaishia hapo, Wanawake jamani hasa wale wasio jielewa, hebu kuweni wasafi bhana, hizo nyeti zenu, hata zilivyo kaa, zinaitaji usafi, vitu vyeupe na harufu kari, mtatulaumu bure, kuwa hatuna nguvu za kiume, mimi hapo siwezi kukaa, natoka nduki, na gemu linaishia hapo, aseeh!
Unakuta Mwanamke analeta kiss halafu mdomo unanuka, aseeh. Mwanamke mzuri lakini unakuta hujajitambua, kuna halufu inakuja na kupotea kama ubwabwa hivi. Usikute na shule amekwenda, halafu linasisitiza ndoa, na vizinga, pumbavu, futa namba.
Yalinikuta hayo wadau, first date, unakutana na mtu, nguvu za kiume zinaishia hapo, Wanawake jamani hasa wale wasio jielewa, hebu kuweni wasafi bhana, hizo nyeti zenu, hata zilivyo kaa, zinaitaji usafi, vitu vyeupe na harufu kari, mtatulaumu bure, kuwa hatuna nguvu za kiume, mimi hapo siwezi kukaa, natoka nduki, na gemu linaishia hapo, aseeh!