The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
- Thread starter
- #41
Kuna wanawake wanaodai mwanaume akiwa sopsop saaaaaaaaaaaaana huwa hawezi kuishi vizuri na madada. Kwa nini..? Sijui..... Mwingine alisema hata wajibu wao wa faraghani hushindwa kutimiza pale wanapokosa mavazi yao mwilini!
Anijali, anipende, anitunze, aniridhishe, ajue majukumu yake kwa family.... ziada yake awe mweusi mrefu kiasi, mwembamba mnene(katikati hapo) asiwe handsome, anaetabasam mara kwa mara, anaenukia perfumes za ukweli(hii huni turn on sana), msafi