Mwanamke; Unapenda mwanaume mwenye sifa gani?

The Analyst

JF-Expert Member
Feb 26, 2011
464
246
Najua na kuamini kwamba binadamu tumetofautiana kwa kiwango kikubwa lakini sijui hasa wanawake wengi wanapenda sifa zipi awe nazo mume ili waweze kuridhika na pengine kuishi kwa furaha. Najiuliza sana swali hili, pengine dada zangu jamvini mtanisaidia zaidi "from the original..."

Nimewahi kushuhudia dada mmoja, mke wa mtu anakuwa na boyfriend kwa muda mrefu kweli nje ya ndoa yake na inadaiwa kazaa naye ama mtoto au watoto wawili akiwa ndani katika ndoa na mume mpole, very caring (katika mazingira ya kawaida - chumbani sijui..), good provider na ustaarabu mwingi kwa ujumla. Angekuwa na fedha nyingi zaidi nisingeshangaa kumkuta huyu dada anamiliki Gulf Stream.

Tatizo na kinachoshangaza zaidi dada huyo kaachana na huyo boyfriend aliyemzalia mtoto na badala ya kutulia ndani ya ndoa yake sasa anaruka na bwana mwingine tena mume wa shoga yake. Wamejiacha kama hawana ndoa zao vile, mpaka huyo mke wa huyu bwana analalamika hovyo na kuishia kudundwa na mumewe (sijashuhudia hili). Kwa ustaarabu wa yule bwana (Mume Mwema) nilitarajia awe bwana wa mwisho kabisa kutendewa uasi huo na mkewe kwa kuwa anamfaa sana. Cha ajabu anatendewa ndivyo sivyo kuliko mabwana wengine ambao ni "vya-pombe" na sketi - mtu huko katika mabaa na viwanja vingine. Kwa jamaa yangu huyu mambo yanafanywa waziwazi mno!
Kwa mfano wa dada huyu mume angekuwa vipi ndiyo angetulia na kupunguza kujidhalilisha kiasi hicho machoni pa watu?
 
Kila mmoja ana mambo yake,myself napenda mwanamke anaejitambua kuwa yeye ni mwanamke!
 
Kila mmoja ana mambo yake,myself napenda mwanamke anaejitambua kuwa yeye ni mwanamke!
 
Kuna watu wasiojua nini wanataka....na kuna watu wanajua wanachotaka hata kama wewe hukioni.Hao unaowaita chapombe labda ndo anaowapenda yeye...labda kuna vitu ambavyo wanavyo mumewe hana...mtu kua mpole na kuonyesha kujali haitoshi lwa kila mtu!!
 
Kwa upande wangu, kuhusu stori ya uyo dada huwezi jua inawezekana kuwa kunakitu hanakikosa kutoka kwa uyo mumewe. mi napenda mwanaume anayejieshimu na mwenye kujua majukumu ya familia.
 
Kuna watu wasiojua nini wanataka....na kuna watu wanajua wanachotaka hata kama wewe hukioni.Hao unaowaita chapombe labda ndo anaowapenda yeye...labda kuna vitu ambavyo wanavyo mumewe hana...mtu kua mpole na kuonyesha kujali haitoshi lwa kila mtu!!

Thats true baby!
 
Da' Lizzy, Nisaidie kujua, katika mazingira kama ya wazinzi-walevi anachokipenda kitakuwa nini? Unajua kuna wanawake kibao wanawalalamikia jamaa zao kwa kushindwa kujipanga kiuchumi tena kwa kuwaambia kabisa "unadhani maisha ni sex tu.... jitahidi kutafuta...." Kwa kauli kama hii napata picha kwamba si sex tu watu wanahitaji katika ndoa. Sivyo? Then why should guys like that man be so humiliated wakati anajitahidi kwa mengi. Inawezekana kweli sex ikawa hovyo unajua tena watu wakikaa muda mrefu na mke akawa hatulii.

Kuna watu wasiojua nini wanataka....na kuna watu wanajua wanachotaka hata kama wewe hukioni.Hao unaowaita chapombe labda ndo anaowapenda yeye...labda kuna vitu ambavyo wanavyo mumewe hana...mtu kua mpole na kuonyesha kujali haitoshi lwa kila mtu!!
 
Da' Lizzy, Nisaidie kujua, katika mazingira kama ya wazinzi-walevi anachokipenda kitakuwa nini? Unajua kuna wanawake kibao wanawalalamikia jamaa zao kwa kushindwa kujipanga kiuchumi tena kwa kuwaambia kabisa "unadhani maisha ni sex tu.... jitahidi kutafuta...." Kwa kauli kama hii napata picha kwamba si sex tu watu wanahitaji katika ndoa. Sivyo? Then why should guys like that man be so humiliated wakati anajitahidi kwa mengi. Inawezekana kweli sex ikawa hovyo unajua tena watu wakikaa muda mrefu na mke akawa hatulii.

Labda ndo starehe yake!
Sio kila mtu anaridhika na “a good guy“...some people are used to being treated like Ish kwahiyo ukiwa mzuri kwake anakuona huna lolote!Wenyewe watakuambia ‘ukoLAME so cha muhimu ni kuchunguza mtu anapenda watu wa aina gani!
 
Najua na kuamini kwamba binadamu tumetofautiana kwa kiwango kikubwa lakini sijui hasa wanawake wengi wanapenda sifa zipi awe nazo mume ili waweze kuridhika na pengine kuishi kwa furaha. Najiuliza sana swali hili, pengine dada zangu jamvini mtanisaidia zaidi "from the original..."

Nimewahi kushuhudia dada mmoja, mke wa mtu anakuwa na boyfriend kwa muda mrefu kweli nje ya ndoa yake na inadaiwa kazaa naye ama mtoto au watoto wawili akiwa ndani katika ndoa na mume mpole, very caring (katika mazingira ya kawaida - chumbani sijui..), good provider na ustaarabu mwingi kwa ujumla. Angekuwa na fedha nyingi zaidi nisingeshangaa kumkuta huyu dada anamiliki Gulf Stream.

Tatizo na kinachoshangaza zaidi dada huyo kaachana na huyo boyfriend aliyemzalia mtoto na badala ya kutulia ndani ya ndoa yake sasa anaruka na bwana mwingine tena mume wa shoga yake. Wamejiacha kama hawana ndoa zao vile, mpaka huyo mke wa huyu bwana analalamika hovyo na kuishia kudundwa na mumewe (sijashuhudia hili). Kwa ustaarabu wa yule bwana (Mume Mwema) nilitarajia awe bwana wa mwisho kabisa kutendewa uasi huo na mkewe kwa kuwa anamfaa sana. Cha ajabu anatendewa ndivyo sivyo kuliko mabwana wengine ambao ni "vya-pombe" na sketi - mtu huko katika mabaa na viwanja vingine. Kwa jamaa yangu huyu mambo yanafanywa waziwazi mno!
Kwa mfano wa dada huyu mume angekuwa vipi ndiyo angetulia na kupunguza kujidhalilisha kiasi hicho machoni pa watu?

Mkuu hapo kwenye red huoni kama unajichanganya? Ya chumbani huyajui, halafu hapo hapo unasema anamfaa. Kivipi? Don't judge a book by its cover.
 
Nadhani ni ngumu mtu kuchange tabia kubwa kama ustaarabu kuwa rough. Mshikaji mmoja aliwahi kupelekwa ila akafumanie. Aliyoyaona akitendewa wife wake (tena akifurahia) yalimfanya atapike hapo hapo fumanizini. Akisimulia mkasa jamaa alidai tangu wakiwa marafiki na baadaye wachumba mkewe alikuwa akiponda sana vitu kama sex na style ambazo ni commercial kama anal, hard core, threesome nk kama zinavyosifiwa na waigizaji wa filamu za bluu. Kwa maana nyingine aliamini mke hawezi kupenda vitu hivyo lakini cha ajabu akashuhudia kijana wa kimanga tena mdogo kwa umri akimchafua mkewe kama wanarekodi movie vile. Hakutaka kuonana naye tena.

Labda ndo starehe yake!
Sio kila mtu anaridhika na "a good guy"...some people are used to being treated like Ish kwahiyo ukiwa mzuri kwake anakuona huna lolote!Wenyewe watakuambia ‘ukoLAME so cha muhimu ni kuchunguza mtu anapenda watu wa aina gani!
 
Mkuu unajua tena lugha zetu hizi. Utaniwia radhi. Nimesema anamfaa nikimaanisha anahifadhiwa katika nyumba ambayo jamaa kagharimia, anamlisha na kumvisha nk. Tena mengine sikusema jamaa alimuasili hadi mtoto ambaye mdada kamzaa kabla hawajakutana. Si kumfaa kwa mambo ya kikubwa! Hayo sijui.

Mkuu hapo kwenye red huoni kama unajichanganya? Ya chumbani huyajui, halafu hapo hapo unasema anamfaa. Kivipi? Don't judge a book by its cover.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu unajua tena lugha zetu hizi. Utaniwia radhi. Nimesema anamfaa nikimaanisha anahifadhiwa katika nyumba ambayo jamaa kagharimia, anamlisha na kumvisha nk. Tena mengine sikusema jamaa alimuasili hadi mtoto ambaye mdada kamzaa kabla hawajakutana. Si kumfaa kwa mambo ya kikubwa! Hayo sijui.

Yote hayo hayatoshi kumfanya mtu akupende na kutulia...unless tunaongelea mapenzi ya fadhila hapa.Mapenzi yalitakiwa yawepo kabla hajafaidi kuishi kwa mshkaji...kula vijisenti vyake na kuasiliwa mtoto.

Kwa maelezo yako ya hapo juu inawezeka mshkaji ni “mlokole“ sana kwenye mambo ya mapenzi kwahiyo dada nae alijifanya ndo walewale apate ndoa.Sasa ana ndoa na raha yake anapata nje..Hakuolewa kwa mapenzi bali alikubali ili apate kula na kulala rentfree!
 
Ungekuwa dume ningedhani Shekhe Yahaya karudi ulingoni. Jamaa si mlokole wa huko ndani tu, maana sijui yaliyomo kati ya kuta 4, lakini ni mlokole ki-imani pia kwa maana ya kulia na kunena kwa lugha isiyotafsirika hapa duniani. Do you know them? May be anapenda missionary style. Nimewahi kusikia wanawake wangi wanakuwa bored na mitindo ya kujirudia. Naanza kuhisi nilichukua uamuzi sahihi kutooa japokuwa natamani sana kuitwa baba. Napata woga kuitwa mume wa mtu.

Sipati picha; kufanya mapenzi ki-mishionari kwa miaka 20 halafu ghafla nakuwa hard core kuogopa kunyanganywa na ma'chizi. Unajua ni rahisi sana kumfanya utakavyo mke wa mwenzio lakini ukashindwa wako. Imagine mke kutoka ndani bara huko ghafla tu umtumikishe michezo yote ya pwani! Unaanzaje kwanza? Blue wengine kutazama ni dhambi na kuiga yaliyomo ni tiketi 1st class ya motoni.

Yote hayo hayatoshi kumfanya mtu akupende na kutulia...unless tunaongelea mapenzi ya fadhila hapa.Mapenzi yalitakiwa yawepo kabla hajafaidi kuishi kwa mshkaji...kula vijisenti vyake na kuasiliwa mtoto.

Kwa maelezo yako ya hapo juu inawezeka mshkaji ni "mlokole" sana kwenye mambo ya mapenzi kwahiyo dada nae alijifanya ndo walewale apate ndoa.Sasa ana ndoa na raha yake anapata nje..Hakuolewa kwa mapenzi bali alikubali ili apate kula na kulala rentfree!
 
Ungekuwa dume ningedhani Shekhe Yahaya karudi ulingoni. Jamaa si mlokole wa huko ndani tu, maana sijui yaliyomo kati ya kuta 4, lakini ni mlokole ki-imani pia kwa maana ya kulia na kunena kwa lugha isiyotafsirika hapa duniani. Do you know them? May be anapenda missionary style. Nimewahi kusikia wanawake wangi wanakuwa bored na mitindo ya kujirudia. Naanza kuhisi nilichukua uamuzi sahihi kutooa japokuwa natamani sana kuitwa baba. Napata woga kuitwa mume wa mtu.

Sipati picha; kufanya mapenzi ki-mishionari kwa miaka 20 halafu ghafla nakuwa hard core kuogopa kunyanganywa na ma'chizi. Unajua ni rahisi sana kumfanya utakavyo mke wa mwenzio lakini ukashindwa wako. Imagine mke kutoka ndani bara huko ghafla tu umtumikishe michezo yote ya pwani! Unaanzaje kwanza? Blue wengine kutazama ni dhambi na kuiga yaliyomo ni tiketi 1st class ya motoni.

Kwani wewe pia ni mlokole?
 
Ungekuwa dume ningedhani Shekhe Yahaya karudi ulingoni. Jamaa si mlokole wa huko ndani tu, maana sijui yaliyomo kati ya kuta 4, lakini ni mlokole ki-imani pia kwa maana ya kulia na kunena kwa lugha isiyotafsirika hapa duniani. Do you know them? May be anapenda missionary style. Nimewahi kusikia wanawake wangi wanakuwa bored na mitindo ya kujirudia. Naanza kuhisi nilichukua uamuzi sahihi kutooa japokuwa natamani sana kuitwa baba. Napata woga kuitwa mume wa mtu.

Sipati picha; kufanya mapenzi ki-mishionari kwa miaka 20 halafu ghafla nakuwa hard core kuogopa kunyanganywa na ma'chizi. Unajua ni rahisi sana kumfanya utakavyo mke wa mwenzio lakini ukashindwa wako. Imagine mke kutoka ndani bara huko ghafla tu umtumikishe michezo yote ya pwani! Unaanzaje kwanza? Blue wengine kutazama ni dhambi na kuiga yaliyomo ni tiketi 1st class ya motoni.
Hahahha...ndo hivyo sasa.Dada nae aliokoka kwa muda.

Kuhusu uoga wako wala usiuendekeze..cha muhimu ni umpate yule unayefanana nae kweli.Na ili kufanikisha hili achana na kujitambulisha siku ya kwanza na kuongelea ndoa maana ukikutana na dada mwenye uchu wa ndoa hata ukimwambia unapenda sana konokono na yeye hajawahi kula atakwambia na yeye pia.Wapo wanawake wa kila aina out there....we mtafute tu yule anaeelekea kua kama wewe.
 
Back
Top Bottom