gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
jamanimiye nimendaa pilau nyama ng'ombe, kabichi, vikuku kidogo juice pamoja na madafu. jion kuna berbecue ya kufa mtu k wale walio alikwa. nichukue nafasi hii kukuualika wewe Mtambuzi, Asprin princess enny Kongosho na wengine ila kwa wale wanaume wa kichaga chonde nyama ni stiki moja moja tu so ule kitaa kwanza kabla ya kufika hapa. umeskia wewe Asprin Kaizer na Mr Rocky?
shostito wangu cacico ndo mchomaji wetu wa leo, naona yuko bize na meat grill tusubiri tuone.
shostito wangu cacico ndo mchomaji wetu wa leo, naona yuko bize na meat grill tusubiri tuone.
Last edited by a moderator: