Mwanamke ukitaka kuniibia vaa shanga.

Mwanamke ukitaka kuniibia vaa shanga.

Dah pole sana
nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.
 
Si kweli, ondoa huu upuuzi kichwani mwako. Si kila mtu anapenda kula pipi.

Mkuu ngoja nikwambie kitu..

Upate kitu light skinned, kimejaaa huko mahali pa kukalia. Kisafi kila mahali na zile zinazozungumzwa hapa ziwe na rangi ya bia.

Makao Makuu na suez canal panakishiwe na mafuta ya nazi au olive oil.

Kicheze mziki ulipo kwa muda huo kama feni bovu, slowly but surely...

Sasa ndugu yangu ukikutana na kitu hakieleweki kina rangi gani, juu mpaka chini ana rangi kama za upinde wa mvua. Zinazozungumzwa hapa zina rangi ya ajabu ajabu. Utapendaje hizo mambo Mkuu.. Lazima uwe hateful
 
nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.
Hahahahaaaa yalimtokea sister yangu kwa husband yake
 
Shangaa zinatia nyege vibaya mno na hili nilikuwa sijalijua maana mimi mwnyewe mwanaume wa mkoani huko; siku moja nipo zangu beach naogelea mara mwanamke kaja anatka nimwogeleshe acha nikute anashanga kiunoni nimezichezea vibaya mno maana yeye mwenyewe aliniambia usiwe na wasiwasi nimekuja huku kuenjoy tu na kaupweke; tokea siku hiyo nilipata waza la kumnunulia mpenzi wangu shanga maana msimsimko wake sio wa nchi hii
Mweeeee wanaume aiseee sio watuu wakawaida ndio maana wengine wamegoma kuolewa sisi wengine tunaroho ganii, nawaza tuu
 
kipindi nipo tabora nikakutana na dem kavaa kama 15 eh nikashangaa nikamuuliza nini hiyo akanijibu "kwani hujui" ehe nikaona leo nimepatikana nikaogopa nikajua uyu mwanga nilikula kiwoga ila ndo tuliachana mazima
Hadi leo nikiona hayo madude na hiyo papuch nahairisha wiki ndo nifikirie tena
 
Back
Top Bottom