DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Salam!
Moja kwa moja kwenye mada.
Ubakaji (kutoka mzizi wa Kiarabu) ni tendo la kumlazimisha mtu afanyiwe asichokubali.
Juzi juzi hapa,media zimelalamika kufanyiwa vitu wasivyovikubali,aka ukabaji wa media,kitu ambacho ni kosa la jinai.
Ikiwa madai yao ni sahihi,je kwa nini hawajapeleka malalamiko yao polisi au mahakamani?
Hawajapeleka malalamiko mahakamani/polisi kwa manufaa ya nani (kisiasa au Mfanya uhalifu)
Maoni na wito.
Kitendo kinachodaiwa kufanywa kwenye media na RC ni kitendo kkisicho kubalika wala kuvumilika katika hali ya kawaida, kutopeleka taarifa polisi/mahakamani ni sawa na kubariki kitendo kile kilicho fanyika kwa manufaa ya watu fulani ambao media inawajua.
Mwanamke akibakwa na asipokwenda kushitaki polisi/mahakamani basi ujue alitengeneza mazingira yeye mwenyewe ili akabwe na alifurahia kitendo hicho,kwa hiyo anangoja aje akabwe tena aendelee kuenjoy bata.
Moja kwa moja kwenye mada.
Ubakaji (kutoka mzizi wa Kiarabu) ni tendo la kumlazimisha mtu afanyiwe asichokubali.
Juzi juzi hapa,media zimelalamika kufanyiwa vitu wasivyovikubali,aka ukabaji wa media,kitu ambacho ni kosa la jinai.
Ikiwa madai yao ni sahihi,je kwa nini hawajapeleka malalamiko yao polisi au mahakamani?
Hawajapeleka malalamiko mahakamani/polisi kwa manufaa ya nani (kisiasa au Mfanya uhalifu)
Maoni na wito.
Kitendo kinachodaiwa kufanywa kwenye media na RC ni kitendo kkisicho kubalika wala kuvumilika katika hali ya kawaida, kutopeleka taarifa polisi/mahakamani ni sawa na kubariki kitendo kile kilicho fanyika kwa manufaa ya watu fulani ambao media inawajua.
Mwanamke akibakwa na asipokwenda kushitaki polisi/mahakamani basi ujue alitengeneza mazingira yeye mwenyewe ili akabwe na alifurahia kitendo hicho,kwa hiyo anangoja aje akabwe tena aendelee kuenjoy bata.