Mwanamke shujaa!

Mwanamke shujaa!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Hii ilitokea huko wilayani chunya mkoani mbeya.Mke na mume wakitoka shambani mara ghafla chatu mkubwa aliwavamia na kumdaka mwanaume.Wakati chatu anajiandaa kumvunja mbavu na hatimaye ammeze,mwanamke alipiga yowe huku akimrushia chatu mchanga.Chatu hakuachia kirahisi mpaka pale mwanamke alipovua khanga na kumfunga kichwa yule chatu kiujasiri.Mara baada ya chatu kumwachia mwanaume,ile khanga ilinasa kwenye kisiki na ikamvuka.Chatu hakufanya ajizi,faster alimdaka mwanamke safari hii.Mwanamke alipiga kelele kuomba msaada lakini mumewe alikuwa busy na mbin za nyika akijaribu kuvunja record ya mjamaica usain bolt.Mungu mkubwa,walitokea wasamaria wema wakamwokoa yuke mwanamke kutoka himaya ya yule chatu.Je ungekuwa wewe ndo huyo mwanamke,ungechukua uamuzi upi?kumrudia mume au la?
 
Hii ilitokea huko wilayani chunya mkoani mbeya.Mke na mume wakitoka shambani mara ghafla chatu mkubwa aliwavamia na kumdaka mwanaume.Wakati chatu anajiandaa kumvunja mbavu na hatimaye ammeze,mwanamke alipiga yowe huku akimrushia chatu mchanga.Chatu hakuachia kirahisi mpaka pale mwanamke alipovua khanga na kumfunga kichwa yule chatu kiujasiri.Mara baada ya chatu kumwachia mwanaume,ile khanga ilinasa kwenye kisiki na ikamvuka.Chatu hakufanya ajizi,faster alimdaka mwanamke safari hii.Mwanamke alipiga kelele kuomba msaada lakini mumewe alikuwa busy na mbin za nyika akijaribu kuvunja record ya mjamaica usain bolt.Mungu mkubwa,walitokea wasamaria wema wakamwokoa yuke mwanamke kutoka himaya ya yule chatu.Je ungekuwa wewe ndo huyo mwanamke,ungechukua uamuzi upi?kumrudia mume au la?

duu! nimeishiwa nguvu kwa kweli nilivyokuwa nasoma nilijua lazima chatu afe kumbe ni swali tumeulizwa, badae mimi natoke jamaa wengine watajibu usihofu
 
Kwa nini hasirudi kwa mumewe?! Kama alikuwa hamataki basi ahasingemuokoa toka kwa chatu....
 
Nilitegemea ningevunjika mbavu badala yake hii stori imenisikitisha, sijui kwa nini?
 
duu! nimeishiwa nguvu kwa kweli nilivyokuwa nasoma nilijua lazima chatu afe kumbe ni swali tumeulizwa, badae mimi natoke jamaa wengine watajibu usihofu
af hyo avatar yako ilibdi usichangie hii post................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom