Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Wabeja sana.
Mwanamke subiri nikupe Siri moja ambayo wanaichukulia kama aibu kuwa na mwanaume wa namna hiyo.
Nafikiri kila mtu anaelewa mwanaume anayeitwa domo zege, hii ni Lugha iliyozoeleka sana humu jamvi ikiwa na maana ya mwanaume muoga wakutongoza wanawake.kwa utangulizi huo hapo juu ushauri wangu huu hapa.
1.Nakuomba uelewe kabisa yakuwa na mahusiano na mwanaume wa namma hiyo siyo chanzo cha wewe kudharaulika,.sifa za watu kama hawa wanadumu sana katika mahusiano ya mapenzi na ndoa. hawana papara yakuparamia wanawake ovyo, domo zenge hawezi kukuacha kama utumweshimu na kumtimizia mahitaji yake kama mume.
2.Asilimia kubwa ya watu hawa hawana tabia yakupenda starahe kama unywaji na pombe na starahe zingine, kila wanapotoka kazini tabia yao ni kuwahi nyumbani utafikiri wanazamu ya kupika.
3.Wana mipango na mikakati mizuri ya kimandeleo pamoja na kulea familia zao, hawana tabia ya kutumia pesa ovyo.
Kwa maelezo hayo utaona watu wanacoment.
for promotion use only
Mwanamke subiri nikupe Siri moja ambayo wanaichukulia kama aibu kuwa na mwanaume wa namna hiyo.
Nafikiri kila mtu anaelewa mwanaume anayeitwa domo zege, hii ni Lugha iliyozoeleka sana humu jamvi ikiwa na maana ya mwanaume muoga wakutongoza wanawake.kwa utangulizi huo hapo juu ushauri wangu huu hapa.
1.Nakuomba uelewe kabisa yakuwa na mahusiano na mwanaume wa namma hiyo siyo chanzo cha wewe kudharaulika,.sifa za watu kama hawa wanadumu sana katika mahusiano ya mapenzi na ndoa. hawana papara yakuparamia wanawake ovyo, domo zenge hawezi kukuacha kama utumweshimu na kumtimizia mahitaji yake kama mume.
2.Asilimia kubwa ya watu hawa hawana tabia yakupenda starahe kama unywaji na pombe na starahe zingine, kila wanapotoka kazini tabia yao ni kuwahi nyumbani utafikiri wanazamu ya kupika.
3.Wana mipango na mikakati mizuri ya kimandeleo pamoja na kulea familia zao, hawana tabia ya kutumia pesa ovyo.
Kwa maelezo hayo utaona watu wanacoment.
for promotion use only