Mwanamke, pita hapa nikuume sikio

Mwanamke, pita hapa nikuume sikio

Umeongea kwel leo. hawa watu wakiwa wanaongea sana, kwanza wanatupanga msururu, pili hawana hofu, ASANTE kwa kunikumbusha.
 
Shy land mada zako znanifurahisha ujue

dada yangu Tumboo kama bado hujaoelewa jitafutie domo zenge wako mmoja umeweke ndani, hatakuwa na karaha katika ndoa yako.

njion tu kafika nyumbani, atakuwa anakusaidia hata kukatata vitunguu na nyanya.
 
Last edited by a moderator:
dada yangu Tumboo kama bado hujaoelewa jitafutie domo zenge wako mmoja umeweke ndani, hatakuwa na karaha katika ndoa yako.

njion tu kafika nyumbani, atakuwa anakusaidia hata kukatata vitunguu na nyanya.

Imeandikwa mwanaume ni kichwa cha family .......y akate vitungu??? Y awe domo zege??? Y nmuweke ndani na sio yeye aniweke ndan????
 
Last edited by a moderator:
Heee..tatizo tukiwatongoza kila dakika oooh wanaume tumezidi unaanza kupewa vimajina kama kiwembe.rukanao.fataki. na tena ukisema usitongoze ubaki na mmoja et domo zege which is which......

Bora ubaki na mmoja tu kaka angu ukawa safe zaidi kuliko kuwa na msururu wa wanawake ht amani ya kutembea njian inakosekana kwa kuhofia kuwa unaweza kujikuta unakutana nao wawili kwa wkt mmoja.
 
Imeandikwa mwanaume ni kichwa cha family .......y akate vitungu??? Y awe domo zege??? Y nmuweke ndani na sio yeye aniweke ndan????

Umeandika ukweli kabsa, lakn nilikuwa natania tu.

kuweka msisitizo wakamba mwanaume mwenye tabia kama hiyo hatoki nje ya ndoa ndio maana nikasema umeweke ndani?

kuhusu kukata vituguu niliweka msisitizo kwenye point ya kwamba wanapenda sana kuwahi nyumbani kukaa na familia zao kwa sababu hawana mda wakukaa vijiweni na kupoteza mda ndio maana nikatania kwamba anawahi anakusaidia kukata vitunguu.thanks
 
Hivi Shy land wewe ni jinsia gani haswa? Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli umeongea kweli, kweli tupu. Sisi tunaoongeaga tunatetemeka huwa tunaangukiaga "PUA". Cha ajabu wakienda kwa hao (wajuzi wa kupanga maneno) siku si nyingi wanakuja wanalia, "Ooooohhh nimetendwa, wanaume hawana huruma". Bora ningekukubaliaga wewe ng'wananzengo.
 
Back
Top Bottom