Mwanamke nzuri huyu jamanii

Mwanamke nzuri huyu jamanii

Hakuna kitu mnaniudhihumu jf kusifia ujinga!

Tushawaambia: mwanamke hasifiwi uzuri nje ya mashindano ya urembo. Nje ya mashindano, kila mwanamke ni mzuri.

Kumsifia mwanamke kama bidhaa ni uzalilishaji usiomithilika.

Sasa huyo mzuri, wengine ni wababaya?
Uzuri wa mwanamke haupo specific.

Kama ni sura, kila amuangaliaye mwanamke, kunakitu anachovutiwa nacho, ndiyomaana ya kusema uzuri wa mwanamke umo machoni mwa ampendaye.

Kwa hiyo kila mwanamke ni mzuri na mrembo kuliko unavyodhania wewe.
Rudi ndani ya mada mkuu
 
Sema, picha nzuri unayodhani ni ya mwanamke. Maana unajuwaje kuwa huyo ni mwanamke?

Mimi naona kama mwanamme aliyewekwa makeup (kachorwa usoni).
 
Hakuna kitu mnaniudhihumu jf kusifia ujinga!

Tushawaambia: mwanamke hasifiwi uzuri nje ya mashindano ya urembo. Nje ya mashindano, kila mwanamke ni mzuri.

Kumsifia mwanamke kama bidhaa ni uzalilishaji usiomithilika.

Sasa huyo mzuri, wengine ni wababaya?
Uzuri wa mwanamke haupo specific.

Kama ni sura, kila amuangaliaye mwanamke, kunakitu anachovutiwa nacho, ndiyomaana ya kusema uzuri wa mwanamke umo machoni mwa ampendaye.

Kwa hiyo kila mwanamke ni mzuri na mrembo kuliko unavyodhania wewe.


Wanawake wote ni warembo na hili halipingiki na ndiyo maana usiyempenda wewe yupo mwingine anampenda, ndivyo Mungu alivyoumba.

Lakini urembo kama hidaya kutoka kwa Mungu au kipaji kwa wasanii ni mapenzi ya Mungu, hii haipingiki kwamba wapo wanawake ni warembo kupita wengine, hii ni sawa na mtu anakuwa na akili zaidi ya wengine hatuwezi kusema kwamba wengine hawana akili lakini tunasema mwenzao kawazidi.

Hata kwa wanaume, wapo wanaume jamali (handsome), ukisoma Qur'an (kama hutojali) Nabii Yusufu (as) alikuwa Handsome mithili ya malaika hadi ikatokea kutamaniwa na mke wa waziri, hivyo suala la urembo na ujamali linazidiana kati ya watu na hapa mleta mada nadhani alikuwa na maana hiyo.

Juu ya yote; "ones beuty is in the eyes of the beholder".
 
Back
Top Bottom