menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
mwanamke nyonga maana yake kiuno kama panga boy.au feni. Yaani akianza kuikata basi itakuwa nomaaa! Kuna watoto wanaitwa baikoko kutoka Tanga.wao wanadai kiuno au nyonga wamepewa na mamazao.
afu mwanaume nini?????
mnatutumia sana wanaume kama watumwa wenu......:shut-mouth:
Wataka kujua mwanamke nyonga? Tafuta wale wadada wa Khanga moko ndembendembe. Wako pande za Mwananyamala.[/QUOTE]
Na magomeni
Huu msemo "mwanamke nyonga" una maana gani ndugu ? Je ni fumbo au lugha fasaha? je kwa mwanaume inakuwaje? Tusaidiane kueleweshana!