Huu msemo "mwanamke nyonga" una maana gani ndugu ? Je ni fumbo au lugha fasaha? Tusaidiane kueleweshana!
Sasa umbo namba 8 na chupa ya bia wap na wap? Kweli kiswahili kimepanuka!
:confused2:
Nakumbuka kibailojia tulifundishwa kuwa mojawapo ya dalili za binti kubalehe ni "kutanuka kwa nyonga",hiyo namba nane ahiusiani na nyonga.Nadhani nyonga ni baada ya kiuno na kabla ya mapaja.
afu mwanaume nini?????
mnatutumia sana wanaume kama watumwa wenu......:shut-mouth:
afu mwanaume nini?????
mnatutumia sana wanaume kama watumwa wenu......:shut-mouth:
Mwanaume si mwanamme tu au kuna jina ziada?