Mzee unajua wale watoto wa huku kwanza wanafundwa jinsi ya kumjali mwanaume yaani mpaka unachonga mzinga kabisaaa yaani wanajua kupenda na wanajua mapenzi ni nini yaani we acha tu.
Inamaana yale yanayoimbwa kwenye taarabu wanayapractice kiukweli? watupa ushuhuda ulioenda shule. Ulikua makorora au Chumbageni? Najua mitaa fulani ya kwaminchi pale kati.