Dunia hii kama isingekuwa na mwanamke isingejaa watu tena ingekuwa ukiwa!! Adamu mwanaume Wa kwanza alijiona mpweke!! Hata mwenyezi Mungu akaona si vyema akae peke Yake!! Mwanamke ni kiumbe mhimu sana kwetu sisi wanadamu kwa wakubwa na wadogo pia!! Ndo maana hata MTU mzima akiumia utasikia akimwita mama yake!! Viungo vya mwiki wake ni mhimu kwa wakubwa hata wadogo pia!! Maziwa yake yanamtunza mtoto mpaka anatembea tumbo lake ni nyumba ya watoto kuishi na ni offisi ya Muumba!! Jamani mwanamke ni wakupendwa na siyo wakupiga!! Hata kama anaumwa bado atajitaidi kumtunza mwanae na mumewe!!hunyonyesha hata kama anaumwa !! Baba Wa mtoto kwa sababu hawezi kunyonyesha utashangaa anamchukua mtoto kumpeleka kwa mkewe ili aweze kunyonya!!
Mtoto mmoja akiwa na wazazi wake alisikika akisema: afadhali kitambi cha mama maana anapokuwA na kitambi utashangaa anazaa mtoto lakini kitambi cha baba kiko kila wakati hakiishi na sijaona akizaa mtoto !! Kwa mantiki hiyo kitamba cha wanaumwe hakina maana!!
Leo ni siku ya wanawake!! Hivyo tushirikiane wote kuwajali kuwaheshimu na kuwapenda!!
Mtoto mmoja akiwa na wazazi wake alisikika akisema: afadhali kitambi cha mama maana anapokuwA na kitambi utashangaa anazaa mtoto lakini kitambi cha baba kiko kila wakati hakiishi na sijaona akizaa mtoto !! Kwa mantiki hiyo kitamba cha wanaumwe hakina maana!!
Leo ni siku ya wanawake!! Hivyo tushirikiane wote kuwajali kuwaheshimu na kuwapenda!!