Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Wewe ....umesoma watoto mama Ntilie ndo ukaaamua kuja na ulevi wa mzee lomolomo.
 
Nami nimegundua..waleee!...hakuna dini inayowadharau wanawake km waislam sijui kwann!

Sio kweli huyu ameandika matamanio yake ya nafsi kwahiyo mumtuhumu yeye na sio dini yetu ya Uislam dini adhiim.

Najua hata upewe miaka kumi huwezi kuthibitisha kauli yako, kwahiyo si kila jambo uandike kaka mkubwa,unatakiwa kuwa mkweli kwa kauli.
 
Kidole chako cha 21 kinaongoza kichwa chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma thread yako so najibu headline tu....

Na starehe siku zote ni gharama so muwe mnahonga kweli kweli, na mhonge kiroho safi.
Hii ndjo point sasa.... Kwamba pesa ndio itakupa cha starehe kinachovutia u urudike kwa raha zako zote. Wanawake kweli chombo kizuri kwa starehe cha maingi ndalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…