mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 1,025
- 1,878
Mwanamke akiwa na umri wa miaka 13 ukimwambia "Mambo? Atakujibu safi shikamoo
Mwanamke akiwa na umri wa miaka 15, ukimwambia "Mambo? Atakujibu powa vipi?
Hapo ameshaanza kuelevuka hata shikamoo anaiona ni mzigo
Mwanamke akiwa na umri wa miaka 18, ukimwambia "Mambo!
Atakujibu safi tu huku anatabasamu,
Ukimuita ukaanza kumtongoza utasikia atakavyokujibu "Samahani kaka angu mie bado nasoma, tafuta unaoendana nao"
Mbaya zaidi anakupa majibu hayo kukuaminisha kuwa yeye yuko bize na elimu, kumbe huko shule kwenyewe anamegwa kama kawa na wanafunzi wenzake
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 22
Ukimfuata na kuanza kumtongoza hapa boy ni lazima ukubari kuangaliwa juu mpaka chini, na asipolizishwa na muonekano wako, tegemea jibu hili, "Nina boyfriend wangu nampenda sana na siko tayali kumsaliti"
Na akishakujibu hivyo hasimami tena mahala hapo huyooo anaondoka zake
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 26
Ukamuita na kuanza kumtongoza, tegemea majibu haya, "Siwezi kuwa na wewe utanisamehe kwa hilo"
Ukimuuliza kwanini? Atakujibu,
"Nawaogopa wanaume"
Ukimuuliza kwani wewe bado bikira mpaka uwaogope wanaume?
Atakujibu "Hapana bali nilishawahi kupenda nikaambulia kutendwa"
Ukimfuatilia kwa umakini baadae utagundua kuwa alichokisema hakina ukweli, bali alikuona huna kazi ya maana, akili yake ikamwambia hatoweza kukutunza
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 28 kuendelea, hana ujanja tena
Ukimtongoza anafikiria kuwa unataka kumuoa
Hapo utakubaliwa haraka kweli,
Mara ghafla anaanza kukupa mipango ya miaka kumi ijayo mpaka unaanza kuboreka,
Na hata kabla miezi mitatu hamjamaliza ataanza kukuuliza, "Kwetu unakuja lini?
Ukimuona anakuuliza hivyo na wewe mjibu hivi, "Nije kufanya nini? Kwamba kuna staili huwezi kunipa mpaka nije kwenu"
Hawa viumbe huwa hujifanya ni wajanja sana wanapokuwa na umri mdogo
Mtu unamfuata ili mjenge mipango ya baadae, yeye anakuona kama takataka
Akishapanda magodoro kibao sasa ndio anaona kuwa kuna umuhimu wa yeye kuolewa
Wadada punguzeni viburi, nyodo na midomo midomo, Kama mnazitaka ndoa
Zaidi ya hapo mtazeekea makwenu,
Mwanamke akiwa na umri wa miaka 15, ukimwambia "Mambo? Atakujibu powa vipi?
Hapo ameshaanza kuelevuka hata shikamoo anaiona ni mzigo
Mwanamke akiwa na umri wa miaka 18, ukimwambia "Mambo!
Atakujibu safi tu huku anatabasamu,
Ukimuita ukaanza kumtongoza utasikia atakavyokujibu "Samahani kaka angu mie bado nasoma, tafuta unaoendana nao"
Mbaya zaidi anakupa majibu hayo kukuaminisha kuwa yeye yuko bize na elimu, kumbe huko shule kwenyewe anamegwa kama kawa na wanafunzi wenzake
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 22
Ukimfuata na kuanza kumtongoza hapa boy ni lazima ukubari kuangaliwa juu mpaka chini, na asipolizishwa na muonekano wako, tegemea jibu hili, "Nina boyfriend wangu nampenda sana na siko tayali kumsaliti"
Na akishakujibu hivyo hasimami tena mahala hapo huyooo anaondoka zake
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 26
Ukamuita na kuanza kumtongoza, tegemea majibu haya, "Siwezi kuwa na wewe utanisamehe kwa hilo"
Ukimuuliza kwanini? Atakujibu,
"Nawaogopa wanaume"
Ukimuuliza kwani wewe bado bikira mpaka uwaogope wanaume?
Atakujibu "Hapana bali nilishawahi kupenda nikaambulia kutendwa"
Ukimfuatilia kwa umakini baadae utagundua kuwa alichokisema hakina ukweli, bali alikuona huna kazi ya maana, akili yake ikamwambia hatoweza kukutunza
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 28 kuendelea, hana ujanja tena
Ukimtongoza anafikiria kuwa unataka kumuoa
Hapo utakubaliwa haraka kweli,
Mara ghafla anaanza kukupa mipango ya miaka kumi ijayo mpaka unaanza kuboreka,
Na hata kabla miezi mitatu hamjamaliza ataanza kukuuliza, "Kwetu unakuja lini?
Ukimuona anakuuliza hivyo na wewe mjibu hivi, "Nije kufanya nini? Kwamba kuna staili huwezi kunipa mpaka nije kwenu"
Hawa viumbe huwa hujifanya ni wajanja sana wanapokuwa na umri mdogo
Mtu unamfuata ili mjenge mipango ya baadae, yeye anakuona kama takataka
Akishapanda magodoro kibao sasa ndio anaona kuwa kuna umuhimu wa yeye kuolewa
Wadada punguzeni viburi, nyodo na midomo midomo, Kama mnazitaka ndoa
Zaidi ya hapo mtazeekea makwenu,
