Mwanamke na Mahusiano

SmithG

Member
Aug 11, 2010
67
2
Wanawake wote wana uwezo mkubwa sana juu ya wanaume tatizo kubwa wanawake wengi wameshindwa kutumia uwezo wao na ushawishi wao kuhakikisha anamuweka mwanaume sawa na kufanya vile anapenda kwa sababu hawajifahamu, Hapa ninazungumzia kufanya yale ambayo mwanamke anaamini mume wake anazembea kama vile kuweka mahusiano katika mstari sahihi.
Bottom line ni kwamba, mwanamke anao uwezo mkubwa ktk kuvumbua kilichomo ndani ya mume wake na kwamba mwanamke akitumia uwezo wake ambao Mungu amempa kuhusu mume basi anaweza kujenga mahusiano na ndoa inayoridhisha.
Wapo wanawake wengi kila kukicha wanalalamika, mume wangu, mume wangu, acha kulalamika, tumia uwezo wako wa kuwa mwanamke kumsaidia mume kuwa mume bora ktk ndoa kwani Mungu amekupa uwezo wa ajabu ndani yako kiasi kwamba mume yeyote anaweza kukubali kile mke anasema pale mke akitumia uwezo wake sawa na Mungu alivyompa.
Kauli yako ni kitu muhimu sana ktk mustakabali wa kulijenga au kulibomoa penzi lenu.
{Kuna usemi kwamba: “A man’s wife has more power over him than the stale”
 
Kwahiyo wanaume mnanyoosha miguu mkisubiri muambiwe fanya hivi au vile! Hivi hamuwezi kuwa wanaume bora bila wanawake kutumia hiyo power? Mtu mzima tena above 25 unataka uwekwe vipi sawa! Badilikeni wenyewe, msitumalizie nguvu zetu za kike jamani.
 
Kwahiyo wanaume mnanyoosha miguu mkisubiri muambiwe fanya hivi au vile! Hivi hamuwezi kuwa wanaume bora bila wanawake kutumia hiyo power? Mtu mzima tena above 25 unataka uwekwe vipi sawa! Badilikeni wenyewe, msitumalizie nguvu zetu za kike jamani.

Kwenye bold hapo ........... .
 
Kwahiyo wanaume mnanyoosha miguu mkisubiri muambiwe fanya hivi au vile! Hivi hamuwezi kuwa wanaume bora bila wanawake kutumia hiyo power? Mtu mzima tena above 25 unataka uwekwe vipi sawa! Badilikeni wenyewe, msitumalizie nguvu zetu za kike jamani.
Mithali 14:1 " Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"
Mithali 12: 15 " Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe: Bali aliye na hekima husikiliza shauri"
 
Wanawake wote wana uwezo mkubwa sana juu ya wanaume tatizo kubwa wanawake wengi wameshindwa kutumia uwezo wao na ushawishi wao kuhakikisha anamuweka mwanaume sawa na kufanya vile anapenda kwa sababu hawajifahamu, Hapa ninazungumzia kufanya yale ambayo mwanamke anaamini mume wake anazembea kama vile kuweka mahusiano katika mstari sahihi.
Bottom line ni kwamba, mwanamke anao uwezo mkubwa ktk kuvumbua kilichomo ndani ya mume wake na kwamba mwanamke akitumia uwezo wake ambao Mungu amempa kuhusu mume basi anaweza kujenga mahusiano na ndoa inayoridhisha.
Wapo wanawake wengi kila kukicha wanalalamika, mume wangu, mume wangu, acha kulalamika, tumia uwezo wako wa kuwa mwanamke kumsaidia mume kuwa mume bora ktk ndoa kwani Mungu amekupa uwezo wa ajabu ndani yako kiasi kwamba mume yeyote anaweza kukubali kile mke anasema pale mke akitumia uwezo wake sawa na Mungu alivyompa.
Kauli yako ni kitu muhimu sana ktk mustakabali wa kulijenga au kulibomoa penzi lenu.
{Kuna usemi kwamba: "A man's wife has more power over him than the stale"

huwa sielewi kwa kweli, hivi mwenye jukumu la kulinda penzi ni mwanamke tu? ndie anaenufaika sana na mapenzi au nini, msituchoshe bana ukiona sio type yako chagua mwingine
 
huwa sielewi kwa kweli, hivi mwenye jukumu la kulinda penzi ni mwanamke tu? ndie anaenufaika sana na mapenzi au nini, msituchoshe bana ukiona sio type yako chagua mwingine
Mithali 11: 22 "Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili"
 
Afu hakuna hata waganga wa kuongeze nguvu za kike afu mtoa mada anatushauri tuzitumie bure bure

Kwahiyo wanaume mnanyoosha miguu mkisubiri muambiwe fanya hivi au vile! Hivi hamuwezi kuwa wanaume bora bila wanawake kutumia hiyo power? Mtu mzima tena above 25 unataka uwekwe vipi sawa! Badilikeni wenyewe, msitumalizie nguvu zetu za kike jamani.
 
Afu hakuna hata waganga wa kuongeze nguvu za kike afu mtoa mada anatushauri tuzitumie bure bure
Mithali 15:2 " Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa mazuri; Bali vinywa vya mpumbavu humwaga upumbavu"
 
huwa sielewi kwa kweli, hivi mwenye jukumu la kulinda penzi ni mwanamke tu? ndie anaenufaika sana na mapenzi au nini, msituchoshe bana ukiona sio type yako chagua mwingine

Mwanamke ana nguvu kubwa kuilinda ndoa kuliko mwanaume!
 
Mtoa mada kama umeoa, kwa maelezo yako inaonekana mke wako ndiyo kichwa ktk familia na wewe ni mkia.
 
Una wadanganya sana! Hawawezi kulazimisha penzi mwisho wa siku watakwenda kwa waganga na kuwafanya wame zao mazezeta!

Wasitumie nguvu nyingi bali akili.
 
Mithali 14:1 " Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"
Mithali 12: 15 " Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe: Bali aliye na hekima husikiliza shauri"

Whatever happened to 'mwanaume ndio kichwa cha nyumba? Mara hii mnataka kukokotwa, mnaskia uvivu kuwa vichwa? This dot com generation:wacko:
:loco:
 
mtoa mada unafurahisha sana unavyomwaga mistari iliyochaguliwa kwa makini ku-highlight consistently dhana ya 'upumbavu'.....
 
Una wadanganya sana! Hawawezi kulazimisha penzi mwisho wa siku watakwenda kwa waganga na kuwafanya wame zao mazezeta!

Wasitumie nguvu nyingi bali akili.
Mithali 18:2 " Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu"
 
Whatever happened to 'mwanaume ndio kichwa cha nyumba? Mara hii mnataka kukokotwa, mnaskia uvivu kuwa vichwa? This dot com generation:wacko:
:loco:
Mithali 24:3 " Nyumba hujengwa kwa hekima, Na kwa ufahamu huthibitika"
 
Mtoa mada kama umeoa, kwa maelezo yako inaonekana mke wako ndiyo kichwa ktk familia na wewe ni mkia.
Mithali 15:2 "Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu"
 
Mithali 15:21 " Upumbavu ni furaha kwake na aliyepungukiwa na akili, ....................................................................."
 
Mithali 14:1 " Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"
Mithali 12: 15 " Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe: Bali aliye na hekima husikiliza shauri"

mwanaume mpumbavu nae huifanyaje nyumba yake?
 
Back
Top Bottom