SmithG
Member
- Aug 11, 2010
- 67
- 2
Wanawake wote wana uwezo mkubwa sana juu ya wanaume tatizo kubwa wanawake wengi wameshindwa kutumia uwezo wao na ushawishi wao kuhakikisha anamuweka mwanaume sawa na kufanya vile anapenda kwa sababu hawajifahamu, Hapa ninazungumzia kufanya yale ambayo mwanamke anaamini mume wake anazembea kama vile kuweka mahusiano katika mstari sahihi.
Bottom line ni kwamba, mwanamke anao uwezo mkubwa ktk kuvumbua kilichomo ndani ya mume wake na kwamba mwanamke akitumia uwezo wake ambao Mungu amempa kuhusu mume basi anaweza kujenga mahusiano na ndoa inayoridhisha.
Wapo wanawake wengi kila kukicha wanalalamika, mume wangu, mume wangu, acha kulalamika, tumia uwezo wako wa kuwa mwanamke kumsaidia mume kuwa mume bora ktk ndoa kwani Mungu amekupa uwezo wa ajabu ndani yako kiasi kwamba mume yeyote anaweza kukubali kile mke anasema pale mke akitumia uwezo wake sawa na Mungu alivyompa.
Kauli yako ni kitu muhimu sana ktk mustakabali wa kulijenga au kulibomoa penzi lenu.
{Kuna usemi kwamba: A mans wife has more power over him than the stale
Bottom line ni kwamba, mwanamke anao uwezo mkubwa ktk kuvumbua kilichomo ndani ya mume wake na kwamba mwanamke akitumia uwezo wake ambao Mungu amempa kuhusu mume basi anaweza kujenga mahusiano na ndoa inayoridhisha.
Wapo wanawake wengi kila kukicha wanalalamika, mume wangu, mume wangu, acha kulalamika, tumia uwezo wako wa kuwa mwanamke kumsaidia mume kuwa mume bora ktk ndoa kwani Mungu amekupa uwezo wa ajabu ndani yako kiasi kwamba mume yeyote anaweza kukubali kile mke anasema pale mke akitumia uwezo wake sawa na Mungu alivyompa.
Kauli yako ni kitu muhimu sana ktk mustakabali wa kulijenga au kulibomoa penzi lenu.
{Kuna usemi kwamba: A mans wife has more power over him than the stale