fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,031
Wanao jua ni kwa wale wasio jua kupigilia kama unajua kupigilia hawajui hata siku moja...watabaki kujitoa toa kukimbilia chooni eti umepizi kumbe wao ndo wanapizi...kijana jifunze kupigilia sio ukifika unajiachia kupiga bao kwani unacheza mpira wakulipwa mpaa utafute magoli mengi kwenye dakika 20 tu kama kina Messi :bounce: