Mwanamke mzuri huyu hapa

Mwanamke mzuri huyu hapa

Wakereketwa wa dini msijichanganye….kuna wanaosali kiusanii ili waonekane wema na ndiyo walio wengi
 
Sasa mkuu ,mimi sizungumzii wanafiki, wafanyao ujinga alafu siku za ibada wanajitia watakatifu sanaaa, nawaivo hata akiniigizia mimi nitamjua tuuu nabado nitaachana naye tu hamna namna.

Chapombe baba, chapombe mama...watoto watakuaje ??? Mchungwa utazaa machungwa ...unakuta familia wazaz wote ni chapombe ,basi izo vuruguuuu .

Mimi hapana kwakweli, ndomaana nmesema waivo kwangu nikusogeza siku, and yes Mwanamke ukiwa mnywa pombe ,alafu ikatokea tumekua wote, nikajua unakunywa ,naww ukajua nmekujua, alafu ukawa huna jitahada za kuacha.... My dear kuna mawili

Ujishtukie tu uendelee na laifu lako

Au ubaki nikutumie tutumiane, baadae nikutumie kama ushuhuda siku nikiwa nafunga ndoa na binti wawatu mpendwa.
loh
 
Mungu atusaidie kwa kweli !
Unajua its true that,love is not all about kumtafuta a Perfect one ....ila kiukweli ukitaka kufurahia maisha ya mahusiani. Nilazima uhakikisha hata km hajakamilika basi jitahidi kupunguza athar za uharibifu ..angalau awe anauelekea ukamilifu .

Ila hii zoa zoa ,utaja leta uzi humu ukisema "" Msaada wenu wadau mpenzi angu amenisalit , nambaya amekiri nisababu ya pombe".

Nawana JF walivyo naroho mbaya, wanakuambia ,msamehe tu kama amekiri.

Naww ulivyojinga, unasamehe kosa, bila kujua km ameacha kilichomfanya akusalit hahaha wanaume bana ,are so weak.
 
Unajua its true that,love is not all about kumtafuta a Perfect one ....ila kiukweli ukitaka kufurahia maisha ya mahusiani. Nilazima uhakikisha hata km hajakamilika basi jitahidi kupunguza athar za uharibifu ..angalau awe anauelekea ukamilifu .

Ila hii zoa zoa ,utaja leta uzi humu ukisema "" Msaada wenu wadau mpenzi angu amenisalit , nambaya amekiri nisababu ya pombe".

Nawana JF walivyo naroho mbaya, wanakuambia ,msamehe tu kama amekiri.

Naww ulivyojinga, unasamehe kosa, bila kujua km ameacha kilichomfanya akusalit hahaha wanaume bana ,are so weak.
Mhhhhh mwanamke anayekunywa pombe mimi na yeye mbali mbali
 
Mwanamke mzuri ni yule aliye na vishawishi kwa mumewe mbele za Mungu.sio yule mwenye ushawishi mkubwa kwa mumewe kuhusu kutopitwa na fashion na mambo ya kidunia.kwani itamfaa nini mtu kupata kila kitu cha dunia na kukosa ufalme wa Mungu?

Ninyi mliokutana na kupendana kwa jina la Bwana hakika hakuna binadamu awezae kuwagombanisha mkisimama katika imani. Kwani Bwana alisema "wakutanapo wawili kwa jina langu,basi mimi ni kati kati yao" Maana ya upendo katika Bwana ni nini?

Pale mmoja anaposhindwa na majaribu na kuanguka,mwingine awe tayari kwa kufunga na kuomba kwa ajili ya mwenzie.Hapo ndipo mtakapojua nini maana ya Mungu asiyeshindwa na kitu.
Maneno ya kweli lkn siku hizi utakutana mdada anajifanya kunena kwa lugha ukishamweka ndani baada ya miaka kadhaa utaona anakushawishi , 'hebu tukae na huyu kijana tumsaidie' ukifuatilia utakuta alimzaa kitambo ni mwanae.
"MUNGU ATUPE MACHO YA ROHONI ILI TUWEZE KUONA WASANII NA KUWAKIMBIA"
 
Maneno ya kweli lkn siku hizi utakutana mdada anajifanya kunena kwa lugha ukishamweka ndani baada ya miaka kadhaa utaona anakushawishi , 'hebu tukae na huyu kijana tumsaidie' ukifuatilia utakuta alimzaa kitambo ni mwanae.
"MUNGU ATUPE MACHO YA ROHONI ILI TUWEZE KUONA WASANII NA KUWAKIMBIA"
Kwa kweli wanaume tuna mateso siyo mchezo kabisa
 
Sawa kabisa,kuishi sawa na mapenzi ya Mungu kuna faraja sana kwenye ndoa..
 
Unajua its true that,love is not all about kumtafuta a Perfect one ....ila kiukweli ukitaka kufurahia maisha ya mahusiani. Nilazima uhakikisha hata km hajakamilika basi jitahidi kupunguza athar za uharibifu ..angalau awe anauelekea ukamilifu .

Ila hii zoa zoa ,utaja leta uzi humu ukisema "" Msaada wenu wadau mpenzi angu amenisalit , nambaya amekiri nisababu ya pombe".

Nawana JF walivyo naroho mbaya, wanakuambia ,msamehe tu kama amekiri.

Naww ulivyojinga, unasamehe kosa, bila kujua km ameacha kilichomfanya akusalit hahaha wanaume bana ,are so weak.
msamehe tu na wasamehe kirahisi hvyo
 
Back
Top Bottom