Mwanamke mzuri huyu hapa

Mwanamke mzuri huyu hapa

Sawa mkuu ngoja nikuambia siku hizi wanaume wanachokipenda ni makalio makubwa na sura nzuri basi ukiwa na hivyo vigezo ata ukiwa ni mtoto wa shetani lazima upate mume kwasababu ndio wengi wanaume wanaopenda hivyo vigezo
Wanapenda wa kuwatumia tu sio kwa ndoa...wengi wanaoolewa ni wa kawaida sana...
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
dooh mkuu hujaoa mbishi wewe
 
Mkuu na wewe unasali na una hofu ya Mungu? Maana kila mwanaume anapenda mke anayesali...

Ila wanaume wengi wana mioyo migumu...kuamini...hawapendi kusali..
Mkuu ninasali na ninahofu na Mungu ,kwamaana hiyo ndege wanaofanana ndio huruka pamoja.

Napenda kuongea na kujidhirisha vile nilivyo , kwakua siwezi mpenda mtu tunayetofautiana kimtizamo ,kithaman,na mwelekeo ,lazima afanane namm ili tutengeneze Combination yamaana, ili km nikanisan, siku iyo Baba, mama, watoto dada wakazi n.k wote nikwenda kanisani .

Huo nimfano moja wapo.
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
chapombe kwani hajui kutunza familia!
wengine walevi na church km kawa
 
chapombe kwani hajui kutunza familia!
wengine walevi na church km kawa
Sasa mkuu ,mimi sizungumzii wanafiki, wafanyao ujinga alafu siku za ibada wanajitia watakatifu sanaaa, nawaivo hata akiniigizia mimi nitamjua tuuu nabado nitaachana naye tu hamna namna.

Chapombe baba, chapombe mama...watoto watakuaje ??? Mchungwa utazaa machungwa ...unakuta familia wazaz wote ni chapombe ,basi izo vuruguuuu .

Mimi hapana kwakweli, ndomaana nmesema waivo kwangu nikusogeza siku, and yes Mwanamke ukiwa mnywa pombe ,alafu ikatokea tumekua wote, nikajua unakunywa ,naww ukajua nmekujua, alafu ukawa huna jitahada za kuacha.... My dear kuna mawili

Ujishtukie tu uendelee na laifu lako

Au ubaki nikutumie tutumiane, baadae nikutumie kama ushuhuda siku nikiwa nafunga ndoa na binti wawatu mpendwa.
 
Sasa mkuu ,mimi sizungumzii wanafiki, wafanyao ujinga alafu siku za ibada wanajitia watakatifu sanaaa, nawaivo hata akiniigizia mimi nitamjua tuuu nabado nitaachana naye tu hamna namna.

Chapombe baba, chapombe mama...watoto watakuaje ??? Mchungwa utazaa machungwa ...unakuta familia wazaz wote ni chapombe ,basi izo vuruguuuu .

Mimi hapana kwakweli, ndomaana nmesema waivo kwangu nikusogeza siku, and yes Mwanamke ukiwa mnywa pombe ,alafu ikatokea tumekua wote, nikajua unakunywa ,naww ukajua nmekujua, alafu ukawa huna jitahada za kuacha.... My dear kuna mawili

Ujishtukie tu uendelee na laifu lako

Au ubaki nikutumie tutumiane, baadae nikutumie kama ushuhuda siku nikiwa nafunga ndoa na binti wawatu mpendwa.
Wanawake waongo sana
 
Mzuri zaidi ni yule unaemuwaza kichwani ambaye Mungu hajamuumba bado
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
Kama mimi
 
Back
Top Bottom