I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.
Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.
Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .
Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
