Mwanamke mwenye miaka 40

Mwanamke mwenye miaka 40

Mapenzi Basi

Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
10
Reaction score
1
Natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka 40 na kuendelea mpaka 50,awe dini yeyote mimi nina miaka 25 nipo temeke sudan kama upo sirious Tafadhali usichelewe namba hii

0779293189,

Akipatikana ni ndoa tu.
 
Hivi vijana wa siku hizi wamekosa nini hadi kuoa mama zao?
 
natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka40 na kuendelea mpaka 50,awe dini yeyote mimi nina miaka 25 nipo temeke sudan kama upo sirious tafadhali usichelewe namba hii0779293189,akipatikana ni ndoa tu.

Una mdomo wa zege kwa vijana wenzako ?
 
Hujambo mwanangu? Umesemaje? Hebu rudia tena...!!
 
Mhh haya bwana kila la kheri wallah watoto wadogo nataka pandia mama zao wallah
 
Una mdomo wa zege kwa vijana wenzako ?

Si kweli! Si kila mtu anaetaka Mwanamke aliemzidi umri basi ni domo zege au ana mapungufu financially, assumptions za namna hii ni mbovu kwa sababu wasichoelewa wengi ni kuwa mwanamke mtu mzima amepitia vingi, anajua mengi, ana hisia za dhati kama akipenda na si mshamba kama walivyo baadhi ya wanawake wenye umri mdogo au wa kati ambao hawana uzoefu wa maisha.
Mimi nikimpata namchukua na nitamlea mimi na si kwa sababu ni tegemezi ila mapenzi, na nitamlea Mimi coz najimudu; Nimewekeza kwenye Bar kadhaa upande wa jikoni, nina biashara za M-pesa, Tigopesa, Airtel Money, Nina Maduka ya vyombo na nguo, hizo ni baadhi ya biashara nilizonazo ukiacha mali ninazomiliki ambazo sitazitaja na zisizo za biashara, sidhani kama naweza kuwa tegemezi kwa mtu na umri huu.
Kwa hiyo wakuu, hayo ni mawazo ambayo si ya kuyazingatia sana.
 
acheni kumshambulia dogo bana, huenda kweli ana mapenzi na watu waliomzidi umri (japo 50yrs ni mingi mno mtu keshakarbia kuacha mambohayo). nakumbuka hata mimi ujanani nilipenda sana walionizidi umri kuanzia miaka kumi na kuendelea, nilipenda sana wadada wa makamo, nliweza kuwa na girlfriend wangu nayemzidi umri mtoto mbichi lakini siridhiki na kimapenzi neishia kuwa na mdada wa makamo pembeni, ni umri tu.
 
Si kweli! Si kila mtu anaetaka Mwanamke aliemzidi umri basi ni domo zege au ana mapungufu financially, assumptions za namna hii ni mbovu kwa sababu wasichoelewa wengi ni kuwa mwanamke mtu mzima amepitia vingi, anajua mengi, ana hisia za dhati kama akipenda na si mshamba kama walivyo baadhi ya wanawake wenye umri mdogo au wa kati ambao hawana uzoefu wa maisha.
Mimi nikimpata namchukua na nitamlea mimi na si kwa sababu ni tegemezi ila mapenzi, na nitamlea Mimi coz najimudu; Nimewekeza kwenye Bar kadhaa upande wa jikoni, nina biashara za M-pesa, Tigopesa, Airtel Money, Nina Maduka ya vyombo na nguo, hizo ni baadhi ya biashara nilizonazo ukiacha mali ninazomiliki ambazo sitazitaja na zisizo za biashara, sidhani kama naweza kuwa tegemezi kwa mtu na umri huu.
Kwa hiyo wakuu, hayo ni mawazo ambayo si ya kuyazingatia sana.

wala wasikukatishe tamaa, wewe tulia utapata tu, ila kuwa makini.
 
Si kweli! Si kila mtu anaetaka Mwanamke aliemzidi umri basi ni domo zege au ana mapungufu financially, assumptions za namna hii ni mbovu kwa sababu wasichoelewa wengi ni kuwa mwanamke mtu mzima amepitia vingi, anajua mengi, ana hisia za dhati kama akipenda na si mshamba kama walivyo baadhi ya wanawake wenye umri mdogo au wa kati ambao hawana uzoefu wa maisha.
Mimi nikimpata namchukua na nitamlea mimi na si kwa sababu ni tegemezi ila mapenzi, na nitamlea Mimi coz najimudu; Nimewekeza kwenye Bar kadhaa upande wa jikoni, nina biashara za M-pesa, Tigopesa, Airtel Money, Nina Maduka ya vyombo na nguo, hizo ni baadhi ya biashara nilizonazo ukiacha mali ninazomiliki ambazo sitazitaja na zisizo za biashara, sidhani kama naweza kuwa tegemezi kwa mtu na umri huu.
Kwa hiyo wakuu, hayo ni mawazo ambayo si ya kuyazingatia sana.

Huwezi kuwa na mali zote hizo bado ukang'ang'ania kwa Sugar Mammy, hiyo akili ungeitumia kutafuta kijana mwenzio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom