Mwanamke mwenye miaka 40

Mwanamke mwenye miaka 40

Huwezi kuwa na mali zote hizo bado ukang'ang'ania kwa Sugar Mammy, hiyo akili ungeitumia kutafuta kijana mwenzio.
Mkuu unajua tafsiri ya Shugamami? Mimi sihitaji sugar mammy, nahitaji mwanamke mtu mzima. Hujapasuliwa kichwa bado wewe, sina uhakika wewe ni me au ke
 
Mkuu unajua tafsiri ya Shugamami? Mimi sihitaji sugar mammy, nahitaji mwanamke mtu mzima. Hujapasuliwa kichwa bado wewe, sina uhakika wewe ni me au ke

Nini maana ya mwanamke mtu mzima mwenye miaka 40 kwa kijana wa miaka 25. Kama huyo Dada angepata mimba akiwa na miaka 15, si atakuwa na watoto unaolingana nao. Halafu nipasuliwe kichwa na nani na kwa nini ? Kwa kukemea uovu katika jamii. Kwanza unajua niko wapi sasa hivi na nafanya nini hadi nipasuliwe kichwa, ushaniona kwenye vijiwe vyenu kweli, hata nikipita hapo lazima mfukuzwe kwanza, mtarudi baada ya mimi kupta. Kwa taarifa yako mimi kuwa ke au me haikuhusu. Halafu sitaki kukuona kwangu, utaniharibia vijana wangu.
 
Anatafuta sugar mummy. Jinga hili kweli mama yako unamvulia nguo na kumwonyesha mjusi wako. Acheni uvivu fanyeni kazi si kulelewa. Aibu sana hii.
 
Muacheni dogo bwana. Dogo tafuta kitu roho inapenda utapata tu.
 
Yani nimecheka sana baada ya kusoma uzi wa huyu braza, ila msimseme sana bana Life is about Choices
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom