mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 658
Kongosho sio mwanaume wewe.....
ni binti tena ana kishungi unachokitaka, ongea nae vizuri.
hivi naww una kishungi buna?
Kongosho sio mwanaume wewe.....
ni binti tena ana kishungi unachokitaka, ongea nae vizuri.
hivi naww una kishungi buna?
......afu mi kishungi najua ni vile vitambaa wanafunga vichwani masingasinga!!!!
oho ndio mana ukakimbilia mbio kwenye sredi.basi watu wanaulizia mbinuko
mi mwenzio ni mbonyeo......
yani flat screen!!!
niunganishie basi maana daaaa! au kama vipi turuke tu mi na wewe@evelyn salt
naomba ajitokeze mwanamke mwenye kishungi( kiuno chembamba amebinuka) popote alipo apa dar tuelewane mimi nipo ofisini ila ntaacha kazi zangu tutafutane sasahivi maana nipo heat mbaya tafadhali kama wewe sio mwanamke pita mbali na huu uzi usije ukagusa moto ukakuunguza
Mimi ni ndume dogo hiyo heat uliyo nayo lazima itaku heat mwenyewe.Hilo ni pepo likemee kabisa.Tafuta mke uoe kama bado hujaoa.
kumbe kiuno chembamba kinapunguza heat bad luck mie nina uno la samaki ,naomba ajitokeze mwanamke mwenye kishungi( kiuno chembamba amebinuka) popote alipo apa dar tuelewane mimi nipo ofisini ila ntaacha kazi zangu tutafutane sasahivi maana nipo heat mbaya tafadhali kama wewe sio mwanamke pita mbali na huu uzi usije ukagusa moto ukakuunguza
kumbe kiuno chembamba kinapunguza heat bad luck mie nina uno la samaki ,
Na wanamme mbonyeo?
wa TZ bwana sasa wewe mtoto wa kiume nimekwambi kaa mbali na huu uzi maana mi staki naweza kukupelekea moto na mangunga ya kufa mtu mpaka nashindwa kushika ma faili
wanaume mbonyeo...?