Mwanamke msumbufu sana jamani.

Mwanamke msumbufu sana jamani.

asa nbona umetuandikia kitabu babu? hadi kusoma bandiko lako tunashindwa bhana
 
Saivi kweli umevurugwa ila utakuja kunielewa hayo maneno mda ukipita na ukiwa normal.
Pole sana mkuu
Mkuu nikiwaambia watu nimeacha chuo hapa hawamini halafu utasikia eti wananikazia nimgonge huyo demu kweli?? Mbona hana nia njema sasa.
 
hata Mimi najarbu kumwelewa kdogo mf.MTU akiamua kukuaibisha na kukutukna FB, insta, huo utakua ni uuaji labda anamaanisha ivo.
Kwani wewe unauchuliaje uuaji???? Kutoa uhai peke yake???? Sidhani kama iko hivyo kwani kuna uuaji ulio mbaya zaidi ya huu wa uhai ambao ni kuua nafsi/hisia/...............
 
Kwani wewe unauchuliaje uuaji???? Kutoa uhai peke yake???? Sidhani kama iko hivyo kwani kuna uuaji ulio mbaya zaidi ya huu wa uhai ambao ni kuua nafsi/hisia/...............
Huyu ndugu hajui kwamba kuna indirect way za kumuua mtu taratibu. Anajua psychological war huyu? Hajui chanzo cha hii migogoro ni kumvuruga mtu mwishowe a commit suicide an aharibikiwe kabisa?
 
Huyu ndugu hajui kwamba kuna indirect way za kumuua mtu taratibu. Anajua psychological war huyu? Hajui chanzo cha hii migogoro ni kumvuruga mtu mwishowe a commit suicide an aharibikiwe kabisa?
Naamini atakuwa ameelewa hili kwa marefu na mapana yake....
 
Back
Top Bottom